Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Hili neno liheshimiwe kabisa kuwa tanzania ni nchi ya drama kama wafanyavyo serikali ya ccm.Hivi unawezaje kuchezea mahakama kwa kupata mihuri alafu na wakuu wa wilaya na mkoa kuweka sahii zao kisha ukakataa kuwa sio nyie kuhusu ngorongoro.
Inakuwaje swala la utekaji asilimia kubwa ni jeshi la polisi ila sijasikia jeshi la polisi likijilaani kwa wanayofanya wakati wamefanya.
Inakuwaje swala la utekaji asilimia kubwa ni jeshi la polisi ila sijasikia jeshi la polisi likijilaani kwa wanayofanya wakati wamefanya.