Umeandika habari ndefu lakini hujataja ni mtu mwenye wadhifa gani aliyetamka hivyo kiasi cha kufanya habari itaje generally kuwa ni 'Americans'. Hapa sana sana naona kama vile umechukua comments za watu kwenye forum fulani halafu ukaja kuwaita kuwa ni 'Americans'. Umeweka picha ya Trump lakini hujaweka nukuu yake yoyote kuonyesha uhusika wake katika habari yakoTuache inferiority complex, kila kitu kujishtukia shtukia. Yaani ni kama atokee mtu akosoe sera za awamu hii mfano, hiyo haihalalishi kusema Watanzania wanakosoa sera za serikali yaoSome Americans have shown disdain as to why Africans are not dying in large numbers as others are dying despite lack of full medical care. One of the guys who wanted Africans to die asked "why aren't these niggas dying too much. Is there something we don't do right?." He is not the only one angry that large numbers of Africans do not die. One of them posted that death is being partial and selective. He noted that death may have to be a black man that's why it spares black people from dying in thousands as other people are dying. One wrote 'these niggas are using voodoo to dodge death. Beware of coronavirus.Americans still wants to know why Corona Virus is not killing Africans as they expected
Kwani wamewalazimisha kufungua mipaka? Acheni upuuzi, Tanzania ndio imefungua anga na imewaita watalii waje. Sasa hapo utasemaje kuwa wao 'wamejipanga'? Inferiority complex, shida tunayo sisi, tumewaita waje walete hela, wala si lazima waje ila tunawataka, kwa hiyo sisi ndio 'tunawapanga', sio wao 'wanajipanga'Nimesikia tayari wamejipanga kujaa kutalii bila kujali jangali hili duniani kote,isije ikawa hao watalii wanatafuta mahali pa kujisitiri/kwa kupumzika kwa muda maana huko kwao ulaya na marekani watu wanaisha kwa corona!
Some Americans have shown disdain as to why Africans are not dying in large numbers as others are dying despite lack of full medical care. One of the guys who wanted Africans to die asked "why aren't these niggas dying too much. Is there something we don't do right?."
He is not the only one angry that large numbers of Africans do not die. One of them posted that death is being partial and selective. He noted that death may have to be a black man that's why it spares black people from dying in thousands as other people are dying.
One wrote 'these niggas are using voodoo to dodge death. Beware of coronavirus.
If Americans and Europeans use the word niggas to describe the black it indicates that they are racist or frustrated with black people like this. It's clear they are angry that black people don't die.
Since the statements on social have been released, Africans have become careful to say they will not accept drugs or vaccines from that part of the world. It is obvious they want thousands of blacks to die.
They didn't like us at all. How can someone wish another man death. Here we are busy praying for them, they are busy wishing us death over there and God, in His wisdom, continues to deceive them.
Ma|a¥A yule mwanamke!Bibi Melinda na genge lake walileta uzi wa kutisha kwamba mwezi wa tano maiti zitakuwa zinazagaa mtaani. Mpaka mwezi unaisha sijaona mjumbe akipitisha daftari la mchango.