M Mparee Halisi Senior Member Joined Jan 4, 2014 Posts 104 Reaction score 8 Oct 16, 2015 #1 Afanye nini mtu aliyesimamishwa kazi ya Ualimu na anatakiwa apate haki gani kwa kipindi hiki?alienda kusoma bila ruhusa,Asanteni kwa michango yenu.
Afanye nini mtu aliyesimamishwa kazi ya Ualimu na anatakiwa apate haki gani kwa kipindi hiki?alienda kusoma bila ruhusa,Asanteni kwa michango yenu.
dyuteromaikota JF-Expert Member Joined Apr 30, 2013 Posts 5,929 Reaction score 8,327 Oct 16, 2015 #2 akaendelee kusoma tu.
ibesa mau JF-Expert Member Joined Sep 17, 2015 Posts 2,109 Reaction score 1,697 Oct 16, 2015 #3 ana muda gani tangu amesimamishwa?
Leah Brown Senior Member Joined Jan 9, 2013 Posts 198 Reaction score 105 Oct 16, 2015 #4 ibesa mau said: ana muda gani tangu amesimamishwa? Click to expand... Jibu hili kwanza, kasimamishwa tangu lini? Na alienda kusoma lini? Kabla ya kwenda shule alikua na mda gani kazini kwa maana tangu aajiriwe..
ibesa mau said: ana muda gani tangu amesimamishwa? Click to expand... Jibu hili kwanza, kasimamishwa tangu lini? Na alienda kusoma lini? Kabla ya kwenda shule alikua na mda gani kazini kwa maana tangu aajiriwe..
L lovely097 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 277 Reaction score 147 Oct 17, 2015 #5 ndio muache kutoroka kazini:llama::llama::llama:
M masssaiboi JF-Expert Member Joined Feb 10, 2009 Posts 636 Reaction score 134 Oct 17, 2015 #6 Mparee Halisi said: Afanye nini mtu aliyesimamishwa kazi ya Ualimu na anatakiwa apate haki gani kwa kipindi hiki?alienda kusoma bila ruhusa,Asanteni kwa michango yenu. Click to expand... Huo ni utovu wa nidhamu na hapo unapoteza haki zote za msingi, mshauri akatafute kazi nyingine
Mparee Halisi said: Afanye nini mtu aliyesimamishwa kazi ya Ualimu na anatakiwa apate haki gani kwa kipindi hiki?alienda kusoma bila ruhusa,Asanteni kwa michango yenu. Click to expand... Huo ni utovu wa nidhamu na hapo unapoteza haki zote za msingi, mshauri akatafute kazi nyingine