Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Tangu kuzaliwa kwake, anajulikana kwa jina la Issa K. Busotwa. Wakati Wa mtihani Wa kidato cha nne mwaka 2010 alishikwa na mtihani akiwa ndani ya chumba cha mtihani na siku ya mwisho, matokeo yake yalifutwa na Baraza la mtihani la taifa.
Mwaka mmoja baadae, Issa K. Busolwa akaanza kusoma kidato cha nne, na hapa ndipo alipobadili jina kutoka Issa K.Busolwa hadi Issa K.Madunda na vyeti vyake vyote vya masomo na kitaaluma vinasomeka kwa jina la Issa K.Madunda.
In short, cheti cha la saba kinasomeka Issa K. Busolwa na vilivyofuatia (Cheti cha kidato cha nne, sita, Chuo vinasomeka Issa K.Madunda
Pamoja na kuwa na majina tofauti, lakini huyo ni mtu mmoja, tofauti ni Surname tu.
Wakuu, hapo ndugu huyu atakuwa ametenda kosa gani na ktk sheria? Adhabu inayoambatana na kosa hilo ni ipi?
Mwaka mmoja baadae, Issa K. Busolwa akaanza kusoma kidato cha nne, na hapa ndipo alipobadili jina kutoka Issa K.Busolwa hadi Issa K.Madunda na vyeti vyake vyote vya masomo na kitaaluma vinasomeka kwa jina la Issa K.Madunda.
In short, cheti cha la saba kinasomeka Issa K. Busolwa na vilivyofuatia (Cheti cha kidato cha nne, sita, Chuo vinasomeka Issa K.Madunda
Pamoja na kuwa na majina tofauti, lakini huyo ni mtu mmoja, tofauti ni Surname tu.
Wakuu, hapo ndugu huyu atakuwa ametenda kosa gani na ktk sheria? Adhabu inayoambatana na kosa hilo ni ipi?