Ameuteka Moyo Wangu!!!!


ni mawazo mazuri ila huo uoga ndio unatufanya tuangukie tusipopapenda na tupoteze nafasi kufanya chaguo la moyo.
 





Nimeshasikia kilio chako bana, nimehisi kuwa ni mimi na wewe! Nitakuonyehsa suprise kazini! Sitakuambia siku ila kuna siku nitafanya kitu utakubali! Mengine haya yatajipa menyewe!
kabisaaaaaaaaaaaa
 
Nimeshasikia kilio chako bana, nimehisi kuwa ni mimi na wewe! Nitakuonyehsa suprise kazini! Sitakuambia siku ila kuna siku nitafanya kitu utakubali! Mengine haya yatajipa menyewe!
kabisaaaaaaaaaaaa

Weweee usije ukawa umemhisi mdada mwingine akakutoa nishai, pole pole ndugu yangu..au huwezi jua labda onyesha suprise uone itakavyopokelewa..ha ha
 
Mmh, are ya talking about me~you just spill the beans BJ, I will think about it.
 

Kama ushauri wa msingi ni huu ulopewa na Cheusi, usirogwe kumwambia.... ukweli ni kwamba ukimwambia atakukanyaga na kukuacha na hapo ndio utakapoumia zaidi na kuja kutusumbua tena ukitaka ushauri.... jaribu kumuonesha signs tu na ataona kama mtakuwa mna-'vibrate on the same frequecy' asipoona jua hauko kabisa kwenye mawazo yake, hivo wala hata usisumbuke... Pole sana ndio ukubwa!!!!:coffee:
 

Asante kwa ushauri..kweli ukubwa jiwe mkuu!!..mana situation zingine ni involuntary!!..tuone itakavyokuwa!!
 
Naona sredi imevurumishwa kutoka uvunguni . . . . :coffee:
 
Nahisi hajafanikiwa bado, au hajasema kabisa . . . la sivyo angelianzisha li-sredi la MAFANIKIO lol
ha ha ha

Yani I wish ungejua, subiria tu 3 days to Updates..umekuwa mdadisi CPU,lol!!
 
Unajua mapenzi ni uwendawazimu,jambo la msingi ni hili dont tell him unampenda,ukwel n kwamba wanaume hatukatai chakula cha kuonja,na kama akijua unamzmia uta2mia ufa huo kukuonja,wanaume wakitongozwa humdharau mwanamke japo huwa hawamwambii,anaweza akakubali tu kukufaidi,kuwa mtulivu kwani KAMA IPO IPO TU!
 
BJ kwa tabia ya mwanaume unatakiwa kuwa makini sana unaweza kumpoteza tumia njia za kumuweka karibu tu kilasiku najaribu kumjua tabia zake anapenda nini na ninihapend binafsi yangu mimi muelewa lakini mwanamke akija nitamkia hivyo ntahisi anakasoro flani kwakuwa sio nechayenu msome kwanza ukisha mjua tabia ndo uanze kumsogeza karibu hasa taim ya mloo jaribu kuambatananae ukisha kuwa karibunae anza kufanya mshauri wako kilaunalotaka kufanya muombe ushauri sio umuombe ushauri wakijinga jaribu kutaka akupe mawazo ya kimaisha ili ajue kuwa anadili na mtu wa aina gani sio mchezaji na muonyeshee upendo uksha kuwa karibunae sana jaribu kumkaribisha kwako mloo wa mchana usiwe na haraka ka ma unaishi pekeyako akujue zaid na ujiweke kwenye hali ya kijumba sio tena akija aone kama umeegesha, hapo nawewe utaona hisia zake zipo karibu nawewe sio umkurupuke kumwambia atakulamba achukuwe taim ubakina jeraha la moyo utawaza loo kanilamba halaf kaanza inauma hiyo mwanume anaweza kuoa kahaba lakini sio rahizi kuo mwanmke alieanza kumtaka dada kuwa makini sana na ushauri kama kweli unampenda tumia njia ingine kabisa usianze kumwambia lakini namaoni yangu tu. akilimkichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…