Hii nchi kweli wap.u.mb.a.vu ni wengi......................hivi ni kipi hasa kinachompa Amina ustahili wa kuitwa shujaa? ni porojo zile za kuwataja wauza unga? Kafa kwa magonjwa yake watu wameng'ang'ania eti kauwawa! mbona mumuwe alipomfuata kwa ugonjwa wenye dalili zilezile za mkewe hamkusema kama kauwawa...............embu tuache huu ujing.a! Kama angekuwa shujaa angewataja hadharani badala ya kutishia nyau. RIP in peace Amina.