Amina Mollel uko wapi?

Amina Mollel uko wapi?

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Jana nilistuka kumuona aliyekua mtangazaji wa Radio One, Amina Mollel kwenye kipindi cha Malumbano ya hoja kinachoendeshwa na ITV. Nakumbuka kwa mara ya mwisho alikua TBC na amekuwa haonekani siku hizi, dhahiri kwa kuonekana ITV huenda amefutwa kibarua TBC.

Kama ni member humu, nina hamu ya kujua yuko wapi siku hizi huyu dada aliyekuwa mpambanaji wa haki zawatu wenye ulemavu nchini.
 
download.jpg
habari picha kwa waliomsahau/hawamfahamu
 
kweli amenenepa na kuzeeka ghafla

ni gamba la kutupwa hata ameshagombea nyadhifa mbalimbali kichama, jana anaonekana ametumwa na magamba wenzie

ni gamba ila ni kichwa sana

Sasa nimeelewa kwanini huwa unalalamika kuhusu ITV unafikiri ni ya chadema? Kwakweli nilipenda anavyo endesha mjadala yeye na Heli mabumo hakika wamesaidia kuwathibiti wahuni kabisa! Hongera Amina molel na Henry Mabumo
 
Sasa nimeelewa kwanini huwa unalalamika kuhusu ITV unafikiri ni ya chadema? Kwakweli nilipenda anavyo endesha mjadala yeye na Heli mabumo hakika wamesaidia kuwathibiti wahuni kabisa! Hongera Amina molel na Henry Mabumo
sijakusoma hapa Rutashobolwa
 
Sasa nimeelewa kwanini huwa unalalamika kuhusu ITV unafikiri ni ya chadema? Kwakweli nilipenda anavyo endesha mjadala yeye na Heli mabumo hakika wamesaidia kuwathibiti wahuni kabisa! Hongera Amina molel na Henry Mabumo
naona upo out of the context, kipindi hajaendesha Amina Mollel alikua mmoja wa wachangiaji tu mkuu na sina chuki na ITV KAMA udhaniavyo
 
Huyu dada ni kichwa sana na anajua afanyalo,pia ni mmoja kati ya watangazaji maarufu wasio na kashfa za kijamii.
 
Back
Top Bottom