Amini Kwamba Wakenya wanatuzidi Comedy Tu

Kinachofanya comedy ya kenya ni ile lafudhi ya maneno ,ndio kitu nimenote kuanzia kwa akina mwala mama kajembe,mzee ojwang na hao waliofuatia akina chachirl
 

YANI WEWE NA AKILI ZAKO UMEONA COMEDY TU? HUJAONA VINGINE?
 
Wewe kumbe ni mwalimu wa haya mambo....hadi tausi unaikumbuka enzi zile zakina master sugu[emoji3577]
 
Fuatilia kwa makini Tanzania kuna vijana wana vipaji vikubwa sana kwenye stand up comedy fuatilia Cheka tu live comedy show inakuja juu sana.ingia YouTube utaona.
 
Wewe pia ni wa zama zile eeh? Dama na Rukia walikuwa wananimaliza sana haswa kwa urembo.
Mi nipo hapa jiji toka kitamboo.......Mimi kwangu master sugu ndiye alikua mtu wangu, bila kumsahau nyundo wetu rikobe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu hiyo ngoma ya fadhili Williams ndio ilikua inamaliza kila kitu
Zile siku ni kama Kenya ilikuwa on standstill wakati Tausi inaepeperushwa hewani hata ukitumwa dukani na Mama unasikia kumla na meno...sadly Fadhili williams hakufaidika kwa sana na hiyo hit song.
 
Mizengwe wako vizuri sana wale jamaa...
 
comedians wa bongo ni wale wa mizengwe tu.. hao wengine kina dullvan hadi wakijadili jinsia ndio wanahisi wanachekesha au hadi wakaupake masizi na kuvaa mabwanga
Nakubaliana na Wewe, ila komed ya akina Masanja na wenzake walikuwa wanajitahidi sana...
 
Zile siku ni kama Kenya ilikuwa on standstill wakati Tausi inaepeperushwa hewani hata ukitumwa dukani na Mama unasikia kumla na meno...sadly Fadhili williams hakufaidika kwa sana na hiyo hit song.
By the way hiyo ngoma ya fadhili Williams ilitungua na Mtanzania
 
Zile siku ni kama Kenya ilikuwa on standstill wakati Tausi inaepeperushwa hewani hata ukitumwa dukani na Mama unasikia kumla na meno...sadly Fadhili williams hakufaidika kwa sana na hiyo hit song.
Hiyo time nakumbuka home kulikua na TV ya black and white ya mbao.....halafu hiyo time ndio Uhuru park ndio ilikua Uhuru park yenyewe,wakati kulikua na boats za kundesha na mwiko......enzi pastor mwiru anajaza uanja wa Uhuru park kuliko mkutano wa sasa[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…