Traveller X
JF-Expert Member
- May 2, 2017
- 271
- 305
Huyo alikiba mnamsifia tu lakini ameshindwa kutumia kipaji chke kuitangaza africa na tanzania kimuziki ndio maana diamond kamuacha mbali kimaendeleo wakati mwenzake ashafanya collabo na ricross ye yupo yupo tu na show za mchangani za fiesta ... Hata kupefom kwenye stage hawezi
Mzee weka hiyo collabo ya kina roze basi mzeebaba.Huyo alikiba mnamsifia tu lakini ameshindwa kutumia kipaji chke kuitangaza africa na tanzania kimuziki ndio maana diamond kamuacha mbali kimaendeleo wakati mwenzake ashafanya collabo na ricross ye yupo yupo tu na show za mchangani za fiesta ... Hata kupefom kwenye stage hawezi
[emoji1] [emoji1]Mzee mma hapa
Usitoke nje ya madaHuyo alikiba mnamsifia tu lakini ameshindwa kutumia kipaji chke kuitangaza africa na tanzania kimuziki ndio maana diamond kamuacha mbali kimaendeleo wakati mwenzake ashafanya collabo na ricross ye yupo yupo tu na show za mchangani za fiesta ... Hata kupefom kwenye stage hawezi