Amini Usiamini, Nchi hizi zinaongoza kwa Ajira na Mishahara mizuri

Amini Usiamini, Nchi hizi zinaongoza kwa Ajira na Mishahara mizuri

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Katika nchi ambazo zinatoa nafasi nyingi za kazi / ajira ni Sudan ya kusini na Somalia, na hazitoi tu nafasi za kazi bali hata kazi zake zenyewe nazo zina mshahara mkubwa na mnono lakini cha kusikitisha watu hawaombi huko kazi. Nashukuru Mungu sikukuu hii ya pasaka nilifanya ziara Somalia na nikamalizia na South Sudan na kote huko nikapewa salamu hizi njema kwa wenzangu na mimi tunaotafuta ajira kuwa tunakaribishwa sana katika nchi hizo. Hivyo basi kama upo tayari na unapenda kufanya kazi katika hizo nchi andika jina lako hapa hapa jamvini na nitakutafuta ili nifanikishe kukupeleka huko.

Kwa mfano anayefagia tu barazani anapewa mshahara wa usd 300 zidisha mara 1784 utapata thamani yake kibongobongo. Mwenye degree usd 3000, mwenye masters usd 7000 na mwenye phd usd 12000. Ewe Mtanzania, kwanini uteseke hapa Tanzania kutafuta kazi / ajira?

Jichanganye huko Sudan ya Kusini na Somalia kazi zipo nje nje na mishahara yake ni minono kama hiyo niliyoiorodhesha hapo. Mshindwe wenyewe!


 
Katika nchi ambazo zinatoa nafasi nyingi za kazi / ajira ni Sudan ya kusini na Somalia, na hazitoi tu nafasi za kazi bali hata kazi zake zenyewe nazo zina mshahara mkubwa na mnono lakini cha kusikitisha watu hawaombi huko kazi. Nashukuru Mungu sikukuu hii ya pasaka nilifanya ziara Somalia na nikamalizia na South Sudan na kote huko nikapewa salamu hizi njema kwa wenzangu na mimi tunaotafuta ajira kuwa tunakaribishwa sana katika nchi hizo. Hivyo basi kama upo tayari na unapenda kufanya kazi katika hizo nchi andika jina lako hapa hapa jamvini na nitakutafuta ili nifanikishe kukupeleka huko.

Kwa mfano anayefagia tu barazani anapewa mshahara wa usd 300 zidisha mara 1784 utapata thamani yake kibongobongo. Mwenye degree usd 3000, mwenye masters usd 7000 na mwenye phd usd 12000. Ewe Mtanzania, kwanini uteseke hapa Tanzania kutafuta kazi / ajira?

Jichanganye huko Sudan ya Kusini na Somalia kazi zipo nje nje na mishahara yake ni minono kama hiyo niliyoiorodhesha hapo. Mshindwe wenyewe!



Acha utani bana
 
You are a great liar my nigga keep it up.
 
Inawezekana!!! Maana watu wengi hawapataki nani akaweke rehani maisha yake kwa shilingi
 
https://jamii.app/JFUserGuide up just a great liar, nothing like that buda! Av a classmate in Juba working in Oil & gas he gets $2500 with his masters n he is South sudan born
 
Yaani hauthamini uhai wako kiasi hiko ukilipuliwa kabla hata mshahara hujapokea, maana afazali ulipuliwe ufe kuliko ukakosa miguu na mikono utamlaumu nani? Na umasikini wa bongo. Mtawaletea matatizo ndugu zenu kuzoana mavi kwa kujitakia. Mkaanza kurudisha watu nyuma maisha yenyewe magumu.
 
Back
Top Bottom