Amini usiamini wimbo huu ndio mzuri kuliko zote duniani!....

1.Soul 4 Real-If you want it
2.Keith Sweat ft kut klose-Get on it
3.Jcole-Cant get it enough
4.Birdman-Play ball(4 My Town)
5.Meek Millz-imma boss
 
Kwangu mimi, wimbo bora ni ule ambao malaika waliimba kipindi kile wanawapa taarifa wachungaji ya kuwa mkombozi amezaliwa.
The unseen is illustrated by the seen.
 
Huo wimbo mi hata siufahamu, ila kuna nyimbo nyingi tu ninazozipenda ikiwemo joule taxi na rangi ya chungwa!
 
Kwangu mziki mzuri ni wenye ujumbe mzuri(mpangilio wa mashairi, kucheza na maneno etc) + utamu masikioni.. Hapa maelezo marefu kidogo.

Mfano. Usiniseme ya ali kiba tamu masikioni ila haina mashauri mazuri.. Mara nyingi nyimbo hizi haziishi daima, kidato kimoja ya jamaa anaitwa sijui J.I vile


Hivyo ngoma tamu kwangu ni dear mama ya 2pac..

Kwanza huyo aliyeimbiwa.. Ndio kiumbe bora kwangu duniani

Pili.. Mashairi yameenda vidudu, primary, mpa chuo kikuu. [emoji119]

Tatu tamu kusikilizika masikioni, kiitikio kimetulia, pac aliflow bomba saana..
Hii ngoma hii basi tu.

Juzi kati nilisikia mama ya NJOMBA NCHUMALI nayo iko bomba.
 
Kinachonifaa mimi huwenda kisikupendeze wewe
Maana yake ni kwamba hakuna mwanamke mwenye sifa ya uzuri kuliko wanawake wote duniani vilevile nyimbo nzuri kuliko zote duniani hakuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…