Aminini nawaambia kisasi cha wana CCM kitakuwa cha kutisha!

Aminini nawaambia kisasi cha wana CCM kitakuwa cha kutisha!

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Hao watu (wana CCM) wanachukiana mno na siku ikitimu ya wao kulipana visasi amini nawaambia kwacho kitakuwa kisasi cha kutisha!

CCM hawapendani hatari na sababu hasa ni maslahi yao binafsi na siyo maslahi ya Watanzania ABADANI!

Letu la mno tuombe siku hiyo iwadie haraka ili mpango wa Mungu utimie.

NB: Bashiru siyo Ndugai.
 
Hao watu (wana CCM) wanachukiana mno na siku ikitimu ya wao kulipana visasi amini nawaambia kwacho kitakuwa kisasi cha kutisha!

CCM hawapendani hatari na sababu hasa ni maslahi yao binafsi na siyo maslahi ya Watanzania ABADANI!

Letu la mno tuombe siku hiyo iwadie haraka ili mpango wa Mungu utimie.

NB: Bashiru siyo Ndugai.
Ndio tumesikia Dada!

Bashiru sio zNdugai...ni kweli!
Ila ukiwa-Mix...

#Bashiru + #Ndugai + makatibu wote walioenguliwa mikoani na wilayani.
Baada ya ujio wa "Saa100" za "Ami- dou Shaka!"

Sambamba na "Hamfurahi-Palepale"
&
"Low-Hang Mpenaa!"

+washauri wa Mwenye-Stuli
Prof, "Kaa-Body!"
&
Mnyarukolo.."Look-Wave!"

Sasa tunaelekea Patamu....kushika Ha-tamu!

View attachment 2423390
 
Back
Top Bottom