Amir Maftah: Juma Nyoso aliwahi kunidhalilisha

yahoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
3,526
Reaction score
1,409
Mchezaji wa zamani wa yanga amir maftah amesema hayo kupitia ac yake ya instagr..alisema tukio hi lilitokea wakati yye akichezea yanga na nyoso akichezea simba,kitendo hicho kilisababisha amir maftah kumpiga kichwa nyoso na yeye maftah kupewa red card ....soarce efm
 
huyu nyosso anakuwa kama yule mchezaji wa chile kama sijakosea
 
Mbona maelezo hayajakamilika mkuu, elezea basi huyo Amir Maftah alidharirishwaje na Juma Nyoso?
 

Taarifa yake imechelewa sana, mbona hakusema mwaka jana baada ya Nyosso kumtomasa Maguli? Huenda kuna ukweli lakini taarifa yake inakosa mashiko. Nakumbuka kitendo cha kumpiga kichwa Nyosso na kupewa kadi nyekundu ilitugharimu sana Yanga na ndio ulikuwa mwisho wa Amir Maftah kuichezea Yanga. Kama tatizo ni Nyosso wa Simba ilikuwaje akajiunga na Simba na kucheza pamoja na mbaya wake? Maftah ni wa kupuuzwa, hana pointi.

Nyosso kafanya kosa, ahukumiwe kwa kosa hilo, maneno ya akina Maftah yamelenga kumchafulia nomino zaidi.
 

Mkuu,kutamka "flani amenitia dole" kwenye jamii inahitaji ujasili na timing ,sio kitu rahisi kama unavyofikiri...alafu maftah kwenda simba ambako kulikuwa kuna nyoso alie mtia dole unafkiri kuna ubaya gani,yy alikwenda smba kimaslahi ukizingatia kuwa yanga ilimuacha...maftah kuyasema hayo saa hz hakufuti ukweli kwasabb hajalazimishwa kusema na wala haina maslahi kwake
 

Mkuu yahoo nakubaliana na hoja zako kuwa kukaa kimya hakuondoi ukweli. Kwa kuwa aliamua kunyamaza analazimika kunyamaza milele, maneno yake kwa sasa ni sawa na uzushi tu alitakiwa aeleze kwa nini alimpiga head Juma Nyosso huku akiwa hana mpira, lilikuwa ni tukio la fedheha si tu kwa Maftah bali na klabu ya Yanga. Kwa kupewa red card akiwa beki wa kushoto mikia walitulazimisha kulala mapema siku hiyo na kuacha kusoma magazeti na kuacha kusikiliza vipindi vya michezo kwa siku kadhaa. Tangu siku hiyo sipendi kumuona wala kusikia jina lake la Maftah.
 
Last edited by a moderator:
hoja
Mkuu tofautisha matokeo ya mechi na udhalilishaji wa moja kwa moja kwa mtu binafsi (personal humiliation) usiingize hisia zako za dk 90...tuzungumzie hoja ya kumtia mtu dole ikwa watu wameona au hawajaona....mi mwenyewe yanga
 
Last edited by a moderator:
Nyoso ni mpuuzi sijapata kuona

Naomba apate adhabu kali sana apotee kwenye mpira

Wanangu kibao wanahustle kupata chance za kucheza alipo yeye anapiga watu vidole

Akawe porn star basi mpira haupo hivyo makuuuu
 
Nyoso ni mshenzi
 

Attachments

  • 1443475376857.jpg
    41.7 KB · Views: 419
Huyu Nyoso ilitakiwa apigwe faini ya pesa nyingi na huu msimu mzima wa ligi asicheze.
 

spot on.............
 
Dah ila nyoso anakosea sana,ukweli ni kwamba huyu jamaa anaitaji apigwe midole yakutosha kabla hajapewa adhabu nyingine,inakuwaje anaendeleza hii tabia?kafanya kitendo hichi kwa john bocco awamu hii,dah huyu jamaa mjinga sana,
 

Punguza ushabiki Mkuu kwenye mambo ya hovyo kama ya nyoso, matokeo yalishapita tuangalie udhalilishwaji wa utu wa mtu!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…