Amisi Tambwe aongeza mkataba Yanga!

Hivi huu ndo usajili mkubwa ambao ulitegemewa kufanywa siku mbili hizi au bado kuna mwingine?
 
Tangu usajili uanze hakuna sijawahi sikia tetesi za uyo babu kutakiwa hata na lipuri
 
Habari kutoka kwa viongozi wa yanga ni za uhakika tena zina ambana na vielelezo maana wanajua wapenzi mashabiki na wanachama wa yanga ni magreatthinkers siyo kama wale jamaa mambumbumbu fc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…