Aiitaji hata mwanasheria
mwone mtu anaitwa jamal malinzi mweleze shida zako ukiona akuna dir nicheki pdidy nimcheki uncle wangu shida iko wapi
usikimbizane na magazeti ooh simba naidai..andika malalamiko..simba na yanga wanajua wakimzulumu mtu wapi anaenda chukua hela zao yaani aizidi hata michezo mitano kwa kijipesa chako mpwa
unakula raha mstarehe