Amka angalau saa 11 asubuhi

Amka angalau saa 11 asubuhi

Nebuchadneza

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2023
Posts
435
Reaction score
1,093
Habari za humu.

Unaambiwa nyota njema huonekana asubuhi na malaika wa heri hutembelea watu asubuhi na kuwapa riziki za siku nzima, hakuna tajiri anayelala mpaka saa 2 au 3, watu wote waliofanyikiwa huwa wanahamka asubuhi na kufanya haya:-

1- Kumuomba MUNGU akupatie ulinzi na riziki juu ya siku hiyo.
2-Fanya MAZOEZI angalau push up 30, squat 30 na nyoosha viungo vyako.
3-Andaa mpango mnzima juu ya siku hiyo.

Hii inahusisha wote awe jobless na aliye na kazi, boss mpaka kibaru,sio kwamba huna kazi ndo ujilegeze kulala mpaka kulazimishwa kuhamka.

Fanya hivi iwe utaratibu wako wakila siku maishani mwako na kuhakikishia utayaona mabadiliko mengi maishani mwako,alafu pia muabudu muumba wako siku za ujana wako, we mtu gani hata kuomba hujawahi unategemea ufanikiwe mhhhhh.

Muombe MUNGU wako kila siku na toa sadaka kwa masikini na wanaokuomba kila kukicha mtaani, kumbuka ule msemo unasema ukitoka kushoto utapokea kulia yani titifotati.

Ni hayo tu wazeeeeya.
 
Tajiri, maskini, kibarua, n.k, mwisho wa siku hapa duniani tunapita. Kwenye maisha usijiwekee kanuni kibaooo, haya maisha hayatabiriki uamke mapema, uchelewe kuamka kikubwa uyamudu maisha unayoishi na uishi vizuri. Tatizo mnasikilizaga story za upande mmoja, eti hakuna tajiri anayechelewa kuamka. Sio kweli, wapo wengi tu ambao achilia mbali kuamka mapema, saa nyingine wanasahau wamelala wapi au hoteli gani hadi kichwa kikae sawa kwenye saa 4 asubuhi ndo anakumbuka alilala wapi.

Kumbuka kuna matajiri aina mbalimbali, tajiri wa mabasi au ma truck ya mizigo hawezi kupata usingizi, ila fikiria mtu kawekeza kwenye kununua shares kwenye kampuni kubwa kama Vodacom, Tigo, Twiga cement au CRDB, anaingiziwa pesa Kila baada ya siku au miezi kadhaa aamke saa 11 kufanya nini!!??.., halafu wangapi unawajua wanaamka saa 11 tangu sekondari mpaka Sasa Wana miaka 50 hakijaeleweka!?

Na wengine unawajua hata ulikuwa hujui wanaishi wapi, wanaamkia wapi kama machokolaa na baada ya miaka mitano unakutana nao Wana maisha mazuri sana!!??.., Sikupingi, ila maisha hayana kanuni maalum kama ma motivational speaker kama wewe mnavyojaribu kuwaogopesha watu kuhusu maisha. Hata uamke saa ngapi au ukeshe kabisa, ukikosa connection na bahati isiwe upande wako utasindikiza wengine mpaka mvi zijae kichwani.
 
Kipindi Niko arosto Sina ramani yoyote nilkuw naamka asbh saa kumi na Moja naanza kutembea kuanzi keko magorofani Hadi agha Khan hospital nyuma Kuna fukwe kubwa imetulia na vibwata vimejengewa nafika saa mbili HV kila siku natulia pale Hadi saa kumi narejea magetoni ndipo siku Moja asbh nikafika nika Hapo Nika mkuta muhindi ambae kila Ni kija asbh namkuta alfu baada ya nusuu saa anasepa alfu na kurejeqa Tena jioni nakunikuta mm .ndipo tukazoena akirudi ananiletea juice au tunda ananipa na mm napokea nakula fresh basi ,Basi siku moja akaja hajanikuta akanipigia simu akaniuliza uko wapi leo nikamuambia Niko homu leo nimekosa hell za kula mchana siwezi Kuja ndio akaniambia nije nitamkuta kwani leo Hana kazi nyingi hapo hospitalini

Basi nikafika ndio akaazna kuniauliza habar za kazi na taaluma yangu kumbuka kuwa sijawai muomba kazi wal kumuuliza kuwa anafanya nn , Kaz gani ,huwa namuona amependeza amevalia suti ya blue au wakt mwingine shaty jeupe

Kumbe muhindi yule alikuwa Ni hr manager wa aghaa khan [emoji23][emoji23]
The rest is story


Amkeni asbh na mapema mno hata Kama huna Cha kufanya amka tembeaa kulekeaa mbelee
 
Habari za humu.

Unaambiwa nyota njema huonekana asubuhi na malaika wa heri hutembelea watu asubuhi na kuwapa riziki za siku nzima, hakuna tajiri anayelala mpaka saa 2 au 3, watu wote waliofanyikiwa huwa wanahamka asubuhi na kufanya haya:-

1- Kumuomba MUNGU akupatie ulinzi na riziki juu ya siku hiyo.
2-Fanya MAZOEZI angalau push up 30, squat 30 na nyoosha viungo vyako.
3-Andaa mpango mnzima juu ya siku hiyo.

Hii inahusisha wote awe jobless na aliye na kazi, boss mpaka kibaru,sio kwamba huna kazi ndo ujilegeze kulala mpaka kulazimishwa kuhamka.

Fanya hivi iwe utaratibu wako wakila siku maishani mwako na kuhakikishia utayaona mabadiliko mengi maishani mwako,alafu pia muabudu muumba wako siku za ujana wako, we mtu gani hata kuomba hujawahi unategemea ufanikiwe mhhhhh.

Muombe MUNGU wako kila siku na toa sadaka kwa masikini na wanaokuomba kila kukicha mtaani, kumbuka ule msemo unasema ukitoka kushoto utapokea kulia yani titifotati.

Ni hayo tu wazeeeeya.


Tajiri haamki asubuhi kukutana na malaika, mara nyingi ni kuhesabu hela au kuvunja nazi
 
Kipindi Niko arosto Sina ramani yoyote nilkuw naamka asbh saa kumi na Moja naanza kutembea kuanzi keko magorofani Hadi agha Khan hospital nyuma Kuna fukwe kubwa imetulia na vibwata vimejengewa nafika saa mbili HV kila siku natulia pale Hadi saa kumi narejea magetoni ndipo siku Moja asbh nikafika nika Hapo Nika mkuta muhindi ambae kila Ni kija asbh namkuta alfu baada ya nusuu saa anasepa alfu na kurejeqa Tena jioni nakunikuta mm .ndipo tukazoena akirudi ananiletea juice au tunda ananipa na mm napokea nakula fresh basi ,Basi siku moja akaja hajanikuta akanipigia simu akaniuliza uko wapi leo nikamuambia Niko homu leo nimekosa hell za kula mchana siwezi Kuja ndio akaniambia nije nitamkuta kwani leo Hana kazi nyingi hapo hospitalini

Basi nikafika ndio akaazna kuniauliza habar za kazi na taaluma yangu kumbuka kuwa sijawai muomba kazi wal kumuuliza kuwa anafanya nn , Kaz gani ,huwa namuona amependeza amevalia suti ya blue au wakt mwingine shaty jeupe

Kumbe muhindi yule alikuwa Ni hr manager wa aghaa khan [emoji23][emoji23]
The rest is story


Amkeni asbh na mapema mno hata Kama huna Cha kufanya amka tembeaa kulekeaa mbelee
Nimeipenda hii
 
Tajiri, maskini, kibarua, n.k, mwisho wa siku hapa duniani tunapita. Kwenye maisha usijiwekee kanuni kibaooo, haya maisha hayatabiriki uamke mapema, uchelewe kuamka kikubwa uyamudu maisha unayoishi na uishi vizuri. Tatizo mnasikilizaga story za upande mmoja, eti hakuna tajiri anayechelewa kuamka. Sio kweli, wapo wengi tu ambao achilia mbali kuamka mapema, saa nyingine wanasahau wamelala wapi au hoteli gani hadi kichwa kikae sawa kwenye saa 4 asubuhi ndo anakumbuka alilala wapi. Kumbuka kuna matajiri aina mbalimbali, tajiri wa mabasi au ma truck ya mizigo hawezi kupata usingizi, ila fikiria mtu kawekeza kwenye kununua shares kwenye kampuni kubwa kama Vodacom, Tigo, Twiga cement au CRDB, anaingiziwa pesa Kila baada ya siku au miezi kadhaa aamke saa 11 kufanya nini!!??.., halafu wangapi unawajua wanaamka saa 11 tangu sekondari mpaka Sasa Wana miaka 50 hakijaeleweka!?,na wengine unawajua hata ulikuwa hujui wanaishi wapi,wanaamkia wapi kama machokolaa na baada ya miaka mitano unakutana nao Wana maisha mazuri sana!!??.., Sikupingi, ila maisha hayana kanuni maalum kama ma motivational speaker kama wewe mnavyojaribu kuwaogopesha watu kuhusu maisha. Hata uamke saa ngapi au ukeshe kabisa, ukikosa connection na bahati isiwe upande wako utasindikiza wengine mpaka mvi zijae kichwani.
Hahahaha umenifanya nicheke sana
Ngoja majobless wafuate ushahuri wako
 
Tajiri, maskini, kibarua, n.k, mwisho wa siku hapa duniani tunapita. Kwenye maisha usijiwekee kanuni kibaooo, haya maisha hayatabiriki uamke mapema, uchelewe kuamka kikubwa uyamudu maisha unayoishi na uishi vizuri. Tatizo mnasikilizaga story za upande mmoja, eti hakuna tajiri anayechelewa kuamka. Sio kweli, wapo wengi tu ambao achilia mbali kuamka mapema, saa nyingine wanasahau wamelala wapi au hoteli gani hadi kichwa kikae sawa kwenye saa 4 asubuhi ndo anakumbuka alilala wapi. Kumbuka kuna matajiri aina mbalimbali, tajiri wa mabasi au ma truck ya mizigo hawezi kupata usingizi, ila fikiria mtu kawekeza kwenye kununua shares kwenye kampuni kubwa kama Vodacom, Tigo, Twiga cement au CRDB, anaingiziwa pesa Kila baada ya siku au miezi kadhaa aamke saa 11 kufanya nini!!??.., halafu wangapi unawajua wanaamka saa 11 tangu sekondari mpaka Sasa Wana miaka 50 hakijaeleweka!?,na wengine unawajua hata ulikuwa hujui wanaishi wapi,wanaamkia wapi kama machokolaa na baada ya miaka mitano unakutana nao Wana maisha mazuri sana!!??.., Sikupingi, ila maisha hayana kanuni maalum kama ma motivational speaker kama wewe mnavyojaribu kuwaogopesha watu kuhusu maisha. Hata uamke saa ngapi au ukeshe kabisa, ukikosa connection na bahati isiwe upande wako utasindikiza wengine mpaka mvi zijae kichwani.

Umemaliza kila kitu.huu uzi ufungwe tu
 
Habari za humu.

Unaambiwa nyota njema huonekana asubuhi na malaika wa heri hutembelea watu asubuhi na kuwapa riziki za siku nzima, hakuna tajiri anayelala mpaka saa 2 au 3, watu wote waliofanyikiwa huwa wanahamka asubuhi na kufanya haya:-

1- Kumuomba MUNGU akupatie ulinzi na riziki juu ya siku hiyo.
2-Fanya MAZOEZI angalau push up 30, squat 30 na nyoosha viungo vyako.
3-Andaa mpango mnzima juu ya siku hiyo.

Hii inahusisha wote awe jobless na aliye na kazi, boss mpaka kibaru,sio kwamba huna kazi ndo ujilegeze kulala mpaka kulazimishwa kuhamka.

Fanya hivi iwe utaratibu wako wakila siku maishani mwako na kuhakikishia utayaona mabadiliko mengi maishani mwako,alafu pia muabudu muumba wako siku za ujana wako, we mtu gani hata kuomba hujawahi unategemea ufanikiwe mhhhhh.

Muombe MUNGU wako kila siku na toa sadaka kwa masikini na wanaokuomba kila kukicha mtaani, kumbuka ule msemo unasema ukitoka kushoto utapokea kulia yani titifotati.

Ni hayo tu wazeeeeya.
Mkuu huu utaratibu sio wakuanza ukubwani. Ulichoandika kianaanza kwenye malezi. Tusipolea watoto wetu kujua kujitegemea na kupanga ratiba humu mtandaoni tutasoma na kupita tu.
 
Wakati nafanya kazi DSM ilikiwa kuamka ni saa 10 alfajiri kila siku.

Kufikia saa 1 asubuhi nakuwa Ofisini tayari.

Kufika Mkoani, muda wa kuamka ni saa 12 kasoro robo asubuhi kila siku, maana huku hakuna Jams kama Dar

Ni utaratibu Mzuri kujizoesha.

Wenzetu wanao swali swala 5, wengi wana huu utaratibu wa kuamka alfajiri.
 
Habari za humu.

Unaambiwa nyota njema huonekana asubuhi na malaika wa heri hutembelea watu asubuhi na kuwapa riziki za siku nzima, hakuna tajiri anayelala mpaka saa 2 au 3, watu wote waliofanyikiwa huwa wanahamka asubuhi na kufanya haya:-

1- Kumuomba MUNGU akupatie ulinzi na riziki juu ya siku hiyo.
2-Fanya MAZOEZI angalau push up 30, squat 30 na nyoosha viungo vyako.
3-Andaa mpango mnzima juu ya siku hiyo.

Hii inahusisha wote awe jobless na aliye na kazi, boss mpaka kibaru,sio kwamba huna kazi ndo ujilegeze kulala mpaka kulazimishwa kuhamka.

Fanya hivi iwe utaratibu wako wakila siku maishani mwako na kuhakikishia utayaona mabadiliko mengi maishani mwako,alafu pia muabudu muumba wako siku za ujana wako, we mtu gani hata kuomba hujawahi unategemea ufanikiwe mhhhhh.

Muombe MUNGU wako kila siku na toa sadaka kwa masikini na wanaokuomba kila kukicha mtaani, kumbuka ule msemo unasema ukitoka kushoto utapokea kulia yani titifotati.

Ni hayo tu wazeeeeya.
A good message. Blessing.
 
Back
Top Bottom