Amkeni buana tujadiliane...

Amkeni buana tujadiliane...

Tumbo mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]

am better here
 
Mm pia ni mkata mtaa wa kawaida yaan siku nimepiga dili la kuweza kupata shilingi ya huakika naweza futa siku no njaa,sasa ngoja siku sijaona sent saa nne asubuhi ni mbali majamaa yashaanza kufyatua tumbon

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tumbo hajawah kumuacha mtu salama, uwe na pesa au usiwe nazo.
 
Fanya kila njia uridhishe tumbo hata kuomba, baada ya hapo akili itapata akili ya kutafuta pesa, nenda katafute kazi ukipata utapata pesa, huko kwingine jaza mwenyewe.
 
Back
Top Bottom