google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
Sasa ni kipi kinapeleka taarifa kwamba utafite pesa kama sio tumbo pale unapohisi njaa
Na kipi kinachosababisha utafute hela kama sio njaa ikikuuma ndio uwaze kutafuta ela ili lesho yale usilale njaa tena
Me nimeona watu wanakufa kwa kukosa pesa ya chakula sijui ww mkuuUshawah ona mtu anakufa kisa hana pesa..? Au mtu anakufa kisa kkakosa chakula
Sent using Jamii Forums mobile app
I miss yuuuu asee sijui hata nini kimetokea ngoja nikuchekiiI miss you my lady. Unfortunately PM yako haiko hewani.
Daah aya bana lakin nnahis ushaelewa maana ukiangalia b4 uwepo wa pesa watu walikuwa hawali auMe nimeona watu wanakufa kwa kukosa pesa ya chakula sijui ww mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app