Pre GE2025 Amos Makalla: CCM inasikitishwa sana na hela chafu zilizoingizwa CHADEMA na migawanyiko inayoendelea

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Akihojiwa na vioa msemaji wa CCM ndugu Amos Makalla amesema anasikitishwa sana hali ndani ya CHADEMA.

Msemaji huyo amesema mambo yanayomsikitisha ni kuona CHADEMA wanakiri kuna hela chafu zimemwagwa huko na pia kuna migawanyiko mikubwa ndani ya chama hicho ambayo MSINGI wake mkubwa ni kugombea madaraka

Amedai jambo hilo linawafanya CCM wakose wapinzani sahihi
 
mwenezi ameongea jambo la maana sana kwa mustakabali mpana wa ustawi, amani na afya ya demokrasia nchini πŸ’
 
mwenezi ameongea jambo la maana sana kwa mustakabali mpana wa ustawi, amani na afya ya demokrasia nchini πŸ’
Nyie mataga mnamwaga Hela kwenye chaguz zenu ngazi ya matawi,,,
Halafu mnajifanya wemaaaaaaaaaaaaa
 
CHADEMA nayo imesikitika sana na Mishahara na Posho mnazowapa Covid 19 wakati sio Wabunge kwani walikwishafukuzwa uanachama
 
Ndiyo maana tunaamua ku print fomu moja tu πŸ˜‚πŸ˜‚ ya mgombea.
 
Nyie mataga mnamwaga Hela kwenye chaguz zenu ngazi ya matawi,,,
Halafu mnajifanya wemaaaaaaaaaaaaa
kwahiyo umekaa mahali unafutahi makamu mwenyekiti anavyo fyumu, anavyolialia na kubwekabweka hovyo ee🀣

au wewe ni miongoni mwa wanao mwaga pesa kumnyongonyeza mgombea ambae anapigiwa chapuo na makamu mwenyekiti πŸ’
 
CHADEMA nayo imesikitika sana na Mishahara na Posho mnazowapa Covid 19 wakati sio Wabunge kwani walikwishafukuzwa uanachama
walifukuzwa na bado wanajadiliwa hadi kamati kuu Chadema kila mara, na hata kesho watajadiliwa tena πŸ’
 
aliye kunya anamcheka aliyejamba

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…