Pre GE2025 Amos Makalla: CCM tumejipanga Uchaguzi Mkuu kushinda kwa kishindo

Pre GE2025 Amos Makalla: CCM tumejipanga Uchaguzi Mkuu kushinda kwa kishindo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Amos Makalla amesema Chama hicho kimejipanga kushinda kwa kishindo kwenye uchaguzi Mkuu unatarajiwa kufanyika mwaka huu 2025.

"Mimi niseme huyo mwenye uafadhali angekuwa CCM, hatuwezi kuwa na mgombea ambaye yuko Chama kingine, hatuwezi kuchagua upande wakati sisi hatuko Chama hicho, kwahiyo huyo ambaye labda anahusishwa na CCM basi angekuwa huku CCM, lakini yuko Chama kingine, hakuna anayeogopwa, CCM imejipanga, kipimo chetu tumeanza na Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu tumepanga kushinda kwa kishindo"
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Amos Makalla amesema Chama hicho kimejipanga kushinda kwa kishindo kwenye uchaguzi Mkuu unatarajiwa kufanyika mwaka huu 2025.

"Mimi niseme huyo mwenye uafadhali angekuwa CCM, hatuwezi kuwa na mgombea ambaye yuko Chama kingine, hatuwezi kuchagua upande wakati sisi hatuko Chama hicho, kwahiyo huyo ambaye labda anahusishwa na CCM basi angekuwa huku CCM, lakini yuko Chama kingine, hakuna anayeogopwa, CCM imejipanga, kipimo chetu tumeanza na Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu tumepanga kushinda kwa kishindo"
Yes,
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Amos Makalla, ameeleza ukweli kwa uwazi wa kiwango cha juu mno.

ushindi wa kishindo kwa ccm ni lazima :HAhaa:
 
Back
Top Bottom