LGE2024 Amos Makalla: CHADEMA hawakuwa na kura za maoni kupata wagombea uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Amos Makalla: CHADEMA hawakuwa na kura za maoni kupata wagombea uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Ndugu Amos Makalla amesema stori zote mtandaoni wakati wa kura za maoni zilikuwa zinahusu CCM kuendesha mchakato huo katika kuwapata wawakilishi wa chama hicho katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Ameongeza kuwa kuna vyama vinajiita vya Demokrasia lakini vimeshindwa kuwapata wagombea wao kwa njia ya Demokrasia.

Soma Pia: Amos Makalla: Tulipokuwa tunajiandaa na Uchaguzi wenzetu walikuwa kwenye Maandamano!

Anasema CHADEMA wao walikaa kama fisi anayesubiria mkono udondoke, walipoona CCM imemaliza mchakato wa kura za maoni wao wakakimbilia kuona watapata wapi.


 
Wametumia udikteta, wanalalamikia JPM kupitisha wagombea bila kupingwa, na wao wanafanya hivyo hivyo
 
Ndugu Amos Makalla amesema stori zote mtandaoni wakati wa kura za maoni zilikuwa zinahusu CCM kuendesha mchakato huo katika kuwapata wawakilishi wa chama hicho katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Ameongeza kuwa kuna vyama vinajiita vya Demokrasia lakini vimeshindwa kuwapata wagombea wao kwa njia ya Demokrasia.

Soma Pia: Amos Makalla: Tulipokuwa tunajiandaa na Uchaguzi wenzetu walikuwa kwenye Maandamano!

Anasema CHADEMA wao walikaa kama fisi anayesubiria mkono udondoke, walipoona CCM imemaliza mchakato wa kura za maoni wao wakakimbilia kuona watapata wapi.



Mbona waliochaguliwa na wengi waliwakataa na kuweka wakwao? Umaana wa kura zao za maoni uko wapi?? It is meaningless
 
Ndugu Amos Makalla amesema stori zote mtandaoni wakati wa kura za maoni zilikuwa zinahusu CCM kuendesha mchakato huo katika kuwapata wawakilishi wa chama hicho katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Ameongeza kuwa kuna vyama vinajiita vya Demokrasia lakini vimeshindwa kuwapata wagombea wao kwa njia ya Demokrasia.

Soma Pia: Amos Makalla: Tulipokuwa tunajiandaa na Uchaguzi wenzetu walikuwa kwenye Maandamano!

Anasema CHADEMA wao walikaa kama fisi anayesubiria mkono udondoke, walipoona CCM imemaliza mchakato wa kura za maoni wao wakakimbilia kuona watapata wapi.


Walikuwa hawana wanapita maskoni stendi na mitaani unaulizwa kama upo tayari kusimamishwa ukikubali unajaziwa fomu wengine hata kadi hawana wala si wanachama mfano ni tanga!
 
Makalla ndiyo mwenezi wa hovyo kuliko wote tangu ccm kuanzishwa
 
Ndugu Amos Makalla amesema stori zote mtandaoni wakati wa kura za maoni zilikuwa zinahusu CCM kuendesha mchakato huo katika kuwapata wawakilishi wa chama hicho katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Ameongeza kuwa kuna vyama vinajiita vya Demokrasia lakini vimeshindwa kuwapata wagombea wao kwa njia ya Demokrasia.

Soma Pia: Amos Makalla: Tulipokuwa tunajiandaa na Uchaguzi wenzetu walikuwa kwenye Maandamano!

Anasema CHADEMA wao walikaa kama fisi anayesubiria mkono udondoke, walipoona CCM imemaliza mchakato wa kura za maoni wao wakakimbilia kuona watapata wapi.


Huyu jamaa amekuwa hewa kabisa. Yaani amekuwa kama msemaji wa Chadema. Saa zote ni umbea tuu hana mikakati ya kukiendeleza chama chake ccm. Yule Rc wa Njombe was the right candidate. Huu upwagu na upwaguzi ndani ya Ccm haunge kuwepo
 
Ndugu Amos Makalla amesema stori zote mtandaoni wakati wa kura za maoni zilikuwa zinahusu CCM kuendesha mchakato huo katika kuwapata wawakilishi wa chama hicho katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Ameongeza kuwa kuna vyama vinajiita vya Demokrasia lakini vimeshindwa kuwapata wagombea wao kwa njia ya Demokrasia.

Soma Pia: Amos Makalla: Tulipokuwa tunajiandaa na Uchaguzi wenzetu walikuwa kwenye Maandamano!

Anasema CHADEMA wao walikaa kama fisi anayesubiria mkono udondoke, walipoona CCM imemaliza mchakato wa kura za maoni wao wakakimbilia kuona watapata wapi.


Hili senge linaiwaza Chadema tu,pumbavu kabisa.
 
Huyu jamaa amekuwa hewa kabisa. Yaani amekuwa kama msemaji wa Chadema. Saa zote ni umbea tuu hana mikakati ya kukiendeleza chama chake ccm. Yule Rc wa Njombe was the right candidate. Huu upwagu na upwaguzi ndani ya Ccm haunge kuwepo
Kumuondoa Makonda kwenye hiyo nafasi na kumuweka huyu bumunda ni sawa na kuruka mkojo na kukanyaga uharo.
 
Ndugu Amos Makalla amesema stori zote mtandaoni wakati wa kura za maoni zilikuwa zinahusu CCM kuendesha mchakato huo katika kuwapata wawakilishi wa chama hicho katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Ameongeza kuwa kuna vyama vinajiita vya Demokrasia lakini vimeshindwa kuwapata wagombea wao kwa njia ya Demokrasia.

Soma Pia: Amos Makalla: Tulipokuwa tunajiandaa na Uchaguzi wenzetu walikuwa kwenye Maandamano!

Anasema CHADEMA wao walikaa kama fisi anayesubiria mkono udondoke, walipoona CCM imemaliza mchakato wa kura za maoni wao wakakimbilia kuona watapata wapi.



Dah makala na chadema sijui waligombana kitu gani

Yan kila akisimama yeye na chadema au na lissu
 
Tena ni punguani.
Kura za maoni ni uwendawazimu, kwa sababu wanaopiga kura hawana maamuzi, ni kama kuwachezea akili.

Kama kweli CCM wanataka demokrasia ndani ya chama, wangefuta kura za maoni, badala yake wawe na uchaguzi wa ndani ya chama. Anayekuwa amechaguliwa na wanachama, ndiye huyo huyo awe mgombea wa chama. Siyo watu wanapoteza muda kwenye kura za maoni,, kisha watu watatu wanaenda kujifungia na kuondoa majina ya waliochaguliwa na wanachama, wanabandika wa kwao.

mwaka 2020, pale Shinyanga, Masele alipata kura 320, akakatwa jina lake na wote waliofuatia, akawekwa katambi aliyekuwa amepata kura 3. Hiyo ndiyo demokrasia anayojivunia Makala. Sasaa huyu kweli kichwani ni mzima?
Makalla ni mjinga sn
N
 
Hiyo picha ilikuwa ya uchafuzi wa serikali za mitaa 2019 huyo jamaa alikuwa mgombea wa upinzani huko Handeni alivyoona kuna dalili za kutekwa akavaa mavazi ya kike ili arejeshe fomu kukwepa mitego ya kutekwa njiani.

Mwaka huu yamejirudia yale yale sasa huo ni uchaguzi au kupoteza muda?
IMG-20241104-WA0002.jpg
IMG-20241104-WA0001.jpg
 
Tena ni punguani.
Kura za maoni ni uwendawazimu, kwa sababu wanaopiga kura hawana maamuzi, ni kama kuwachezea akili.

Kama kweli CCM wanataka demokrasia ndani ya chama, wangefuta kura za maoni, badala yake wawe na uchaguzi wa ndani ya chama. Anayekuwa amechaguliwa na wanachama, ndiye huyo huyo awe mgombea wa chama. Siyo watu wanapoteza muda kwenye kura za maoni,, kisha watu watatu wanaenda kujifungia na kuondoa majina ya waliochaguliwa na wanachama, wanabandika wa kwao.

mwaka 2020, pale Shinyanga, Masele alipata kura 320, akakatwa jina lake na wote waliofuatia, akawekwa katambi aliyekuwa amepata kura 3. Hiyo ndiyo demokrasia anayojivunia Makala. Sasaa huyu kweli kichwani ni mzima?

N
Ni utapeli na ulaghai wa CCM
 
Back
Top Bottom