Pre GE2025 Amos Makalla: Kuna vyama vina ukabila na ukanda, vinaongozwa kama SACCOS au familia

Pre GE2025 Amos Makalla: Kuna vyama vina ukabila na ukanda, vinaongozwa kama SACCOS au familia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa Amos Makalla akiwa kwenye mkutano wa hadhara Segerea amesema kuwa kuna vyama vinaongozwa kwa misingi ya kikabila na kikanda

Screenshot 2024-07-09 161323.png


Chama cha Mapinduzi (CCM) kina historia ya uongozi katika nchi hii (Jamhuri ya Muungano wa Tanzania), vyama vingine havina historia ya uongozi wa Nchi yetu, kuna vyama ni Sacco's, kuna vyama ni vya familia, kuna vyama ni vya ukanda, kuna vyama vya ukabila, CCM ndicho chama pekee kwenye nchi hii kinachounganisha Watanzania wote, kwa hiyo ombi langu ni kwamba tuendelee kuiamini CCM, kuna mambo mengi yamefanyika ya ilani na yanaelezeka (nimeenda kukagua shule pale Minazi mirefu huwezi kuamini ghorofa limesimama pale, madarasa 20, bilioni 1.7, kutakuwa na lift, vyoo humo humo yaani pale ukifika unaweza kusema hii shule au Chuo Kikuu, hongereni sana.
 
Makala amepanda kinyonga anakwenda wapi?
 
Ukabila Tanzania unaelekea kuisha.

Wanaozaliwa kuanzia 2000 na kuendelea wengi wanazungumza Kiswahili na wengi hawajui lugha za makabila.

Kinachotokea ni kujengeka Kwa kabila moja la Waswahili, which is good!

Ajabu ni kwamba kuna watu kwa makusudi wanahubiri ukabila na ukanda ambayo kimsingi haupo.
 
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu.
Hata Makalla haujui kwamba Chama kina wenyewe yaani waliomuweka hapo. Siku wakiamua watamtoa kama walivyotolewa akina Makonda, Pole pole na wengine mwache abwabwaje tu. Kahifadhiwa na wenye Chama.
 
Hata Makalla haujui kwamba Chama kina wenyewe yaani waliomuweka hapo. Siku wakiamua watamtoa kama walivyotolewa akina Makonda, Pole pole na wengine mwache abwabwaje tu. Kahifadhiwa na wenye Chama.
Ukimuangalia na yale mashavu yake yalivyoumuka unafikiri anazo akili za kufiria hayo, anajiona kama ndiye mmiliki wa CCM.Lile bumunda halijawahi kuwa na akili.
 
Hyo inawasaidia nini wananchi wa kawaida?
 
Back
Top Bottom