LGE2024 Amos Makalla: Malalamiko yanayotolewa na vyama vya siasa kuhusu kuwekewa mapingamizi kwa wagombea ni upotoshaji!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Baada ya kuwepo kwa sintofahamu ya kuenguliwa kwa wagombea wa upinzani, Amos Makalla amejitokeza hivi karibuni na kusema kuwa vyama vya upinzani vinafanya upotoshaji

Makalla amesema kuwa taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu wagombea wa upinzani kuenguliwa zimejaa upotoshaji kwani hata CCM wenyewe wanaenguliwa

Makalla aliongeza kuwa vyama vya siasa havikujipanga na uchaguzi huu kama CCM ilivyojipanga.

Soma pia: mosi Makalla: CHADEMA wamepoteza muda mwingi kwenye maandamano, kwenye uchaguzi huu hawajajipanga

==========================================

Ni wazi kuwa as we speak CCM imezidi kuona Watanzania ni wajinga na hawawezi kuona hali halisi ya mambo.

Kauli hizi za Makalla ndio husababisha watu wengi wasipige kura maana inaonesha kuwa kumbe wanasikia yanayoongelewa lakini hawataki tu kuyafanyia kazi

Your browser is not able to display this video.
 
Umbwa wamelewa madaraka
 
Makala hana Akili hata tone mwacheni aendelee kujivua Akili awaulize akina ndugai watamwambia.Uovu ni kitu kibaya sana lkn unapomfanyia mwenzio unaona ni sawa lkn malipo ni hapa hapa na tutayaona kabisa.
 
Huyu guluguja ni mpumbavu sana.
 
SG ambassador Dr. Emmanuel Nchimbi katibu mkuu chama dola kongwe CCM apigwa maswali mazito na waandishi wa habari kuhusu uwezo na utashi wa TAMISEMI na hisani ya rais aliye Mwenyekiti kutaka walioenguliwa warudishwe kugombea uchaguzi 2024


View: https://m.youtube.com/watch?v=psAJ6FSbM7Y

 
Wanyiramba wataivuruga nchi hii kwa lugha zao hizi. Katibu Mkuu wa CCM, Dr. Nchimbi leo kakubali kuna dosari huyu anakataa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…