Pre GE2025 Amos Makalla: Mnaobashiri nafasi ya Kinana muda huo haupo. Nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM haigombewi

Pre GE2025 Amos Makalla: Mnaobashiri nafasi ya Kinana muda huo haupo. Nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM haigombewi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Haya jamani mliokuwa na kiherehere kuhusu uchaguzi wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM, mna salamu zenu huku kutoka kwa Makalla

Kaeni kwa kutulia

=======================================================

Chama cha Mapinduzi CCM kimewataka wanachama wake kuachana na watu wanaobashiri kuhusu mrithi wa nafasi ya aliyekuwa Makumu Mwenyekiti wa chama hicho Abdulahman Kinana kwani nafasi hiyo haigombewi ila inapendekezwa.

Hayo yamesemwa Leo Januari 7 ,2025 makao makuu ya Chama hicho Jijini Dodoma na Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa,Itikadi uenezi na mafunzo CPA Amos Makalla wakati akizungumza na Waandishi wa Habari

CPA Makalla amesema nafasi hiyo ya Makamu Mwenyekiti haigombewi Wala haijazwi fomu hivyo hakuna mchakato wowote wa mrithi wa nafasi hiyo badala yake atapatikana baada ya mapendekezo ya jina katika kikao cha Kamati kuu na Halmashauri kuu Taifa.

" Wale waliokuwa wakibashiri mrithi wa Kinana muda huo haupo badala yake mrithi tutampata kwa jina kupendekezwa kwenye vikao na tayari maandailizi yote yanaendelea kufanyika kupitia Katibu mkuu wa Chama chetu Dkt. Emmanuel Nchimbi, " Amesema CPA Amos Makalla.

Hata hivyo Katibu Mwenezi huyo ametoa taarifa wa uwepo wa Mkutano Mkuu CCM ambao utafanyika January 18 hadi 19 2025 Jijini Dodoma

 
Wakuu,


Chama cha Mapinduzi CCM kimewataka wanachama wake kuachana na watu wanaobashiri kuhusu mrithi wa nafasi ya aliyekuwa Makumu Mwenyekiti wa chama hicho Abdulahman Kinana kwani nafasi hiyo haigombewi ila inapendekezwa.

Hayo yamesemwa Leo Januari 7 ,2025 makao makuu ya Chama hicho Jijini Dodoma na Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa,Itikadi uenezi na mafunzo CPA Amos Makalla wakati akizungumza na Waandishi wa Habari

CPA Makalla amesema nafasi hiyo ya Makamu Mwenyekiti haigombewi Wala haijazwi fomu hivyo hakuna mchakato wowote wa mrithi wa nafasi hiyo badala yake atapatikana baada ya mapendekezo ya jina katika kikao cha Kamati kuu na Halmashauri kuu Taifa.

" Wale waliokuwa wakibashiri mrithi wa Kinana muda huo haupo badala yake mrithi tutampata kwa jina kupendekezwa kwenye vikao na tayari maandailizi yote yanaendelea kufanyika kupitia Katibu mkuu wa Chama chetu Dkt. Emmanuel Nchimbi, " Amesema CPA Amos Makalla.

Aidha Makalla ameongeza Kwa kusema watu waache mihemko chama cha Mapinduzi kinaendeshwa kwa Katiba na utaratibu na muda huu ndio muda muafaka wa kujazwa kwa nafasi hiyo.

Hata hivyo Katibu Mwenezi huyo ametoa taarifa wa uwepo wa Mkutano Mkuu CCM ambao utafanyika January 18 hadi 19 2025 Jijini Dodoma
Sasa hiyo tunaigombea watu wako,hivyo boss tafuta sana kujua mtifuano unaoendelea kuiwania nafasi ya makamo,tukimaliza tunaenda kwa ile ya mwenyekiti.
 
Wakuu,

Haya jamani mliokuwa na kiherehere kuhusu uchaguzi wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM, mna salamu zenu huku kutoka kwa Makalla

Kaeni kwa kutulia

=======================================================

Chama cha Mapinduzi CCM kimewataka wanachama wake kuachana na watu wanaobashiri kuhusu mrithi wa nafasi ya aliyekuwa Makumu Mwenyekiti wa chama hicho Abdulahman Kinana kwani nafasi hiyo haigombewi ila inapendekezwa.

Hayo yamesemwa Leo Januari 7 ,2025 makao makuu ya Chama hicho Jijini Dodoma na Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa,Itikadi uenezi na mafunzo CPA Amos Makalla wakati akizungumza na Waandishi wa Habari

CPA Makalla amesema nafasi hiyo ya Makamu Mwenyekiti haigombewi Wala haijazwi fomu hivyo hakuna mchakato wowote wa mrithi wa nafasi hiyo badala yake atapatikana baada ya mapendekezo ya jina katika kikao cha Kamati kuu na Halmashauri kuu Taifa.

" Wale waliokuwa wakibashiri mrithi wa Kinana muda huo haupo badala yake mrithi tutampata kwa jina kupendekezwa kwenye vikao na tayari maandailizi yote yanaendelea kufanyika kupitia Katibu mkuu wa Chama chetu Dkt. Emmanuel Nchimbi, " Amesema CPA Amos Makalla.

Hata hivyo Katibu Mwenezi huyo ametoa taarifa wa uwepo wa Mkutano Mkuu CCM ambao utafanyika January 18 hadi 19 2025 Jijini Dodoma

View attachment 3195183
Tangu lini ccm wakawa na demokrasia?
 
Wakipiga kura za ndiyo na hapana anatakiwa apate kura ngapi za ndiyo??
 
Back
Top Bottom