Amos Makalla: Tumesikia yanayotokea Kenya, CCM tuna la kujifunza

Amos Makalla: Tumesikia yanayotokea Kenya, CCM tuna la kujifunza

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Amos Makalla, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) , Itikadi, Uenezi na Mafunzo amesema Chama chake kina taarifa ya kinachoendelea Nchini Kenya (kuhusu maandamano) na kuna jambo ambalo wao wanajifunza katika kuwatumikia Wananchi

Amesema hayo wakati akizungumza katika Kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM, leo Juni 24, 2024



View: https://www.youtube.com/watch?v=Gl4dwa4hF9I

Snapinsta.app_449076251_806763928187153_6416345116127759780_n_1080.jpg
 
Hongera

Huko Marekani Wakenya Wameandamana kupinga Finance Bill ya Ruto 🐼
 
Back
Top Bottom