Pre GE2025 Amos Makalla: Umma hauandaliwi kwa nguvu, unakubali wenyewe

Pre GE2025 Amos Makalla: Umma hauandaliwi kwa nguvu, unakubali wenyewe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Amos Makalla amesema falsafa ya maandalizi ya umma inasema kuwa umma hauandaliwi kwa nguvu bali hukubali wenyewe.

Makalla ameongeza kuwa kwa umma uliojitokeza katika Uwanja wa Shule ya Msingi Mkata wilayani Handeni Mkoa wa Tanga, wakati wa mkutano wa hadhara wa Rais Samia Suluhu Hassan ni salamu kwamba CCM ina nguvu ya umma.


 
Wakuu,

Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Amos Makalla amesema falsafa ya maandalizi ya umma inasema kuwa umma hauandaliwi kwa nguvu bali hukubali wenyewe.

Makalla ameongeza kuwa kwa umma uliojitokeza katika Uwanja wa Shule ya Msingi Mkata wilayani Handeni Mkoa wa Tanga, wakati wa mkutano wa hadhara wa Rais Samia Suluhu Hassan ni salamu kwamba CCM ina nguvu ya umma.


Yaani hiyo midude ya ccm inaongea hiki na kufanya tofauti muda huo huo!
 
Back
Top Bottom