Amos Wako anawapa shida wajumbe wa BMK anapotumia lugha ya kiingereza, wengi hoi...

A4.

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
670
Reaction score
108
Ni kule mjengoni dodoma, ambapo Amosi Wako katika presentation zake kuhusu katiba ya kenya, anaulizwa maswali kwa lugha ya kiswahili, anayaelewa na kuyajibu kwa kimombo. Naona hali hiyo imeleta utulivu sana huko bungeni. Japo nina wasiwasi baadhi ya wajumbe wanaokota neno moja moja.
Napendekeza watumie lugha ya kimombo ili kudumisha nidhamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…