Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Katibu Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Amos Makalla, amewashauri viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kumaliza migogoro iliyopo ndani ya chama chao.
Amos Makalla amesema kuwa CHADEMA wamepoteza muda mwingi kuaandaa maandamano na kwamba hawakuwa wamejipanga kushitiki kwenye Uchaguzi huu
Soma pia: Tundu Lissu amjibu Amos Makalla kutojiandikisha kwake "Nashangaa wanapewaje vyeo vikubwa na hawana uelewa"
Msikilize hapo chini:
Amos Makalla amesema kuwa CHADEMA wamepoteza muda mwingi kuaandaa maandamano na kwamba hawakuwa wamejipanga kushitiki kwenye Uchaguzi huu
Soma pia: Tundu Lissu amjibu Amos Makalla kutojiandikisha kwake "Nashangaa wanapewaje vyeo vikubwa na hawana uelewa"
Msikilize hapo chini: