AMREF Tanzania

AMREF Tanzania

Donard

Member
Joined
Jul 30, 2010
Posts
36
Reaction score
1
Wakuu naomba kujua kuahusu pay ya hawa watu (AMREF Tanzania)? Siku hizi kuna International Organizations ambazo zinalipa chini kuliko hata our local companies. Kwa trend ya makampuni yetu sikuhizi naona ni muhimu mtu uwe na picha ya what you should expect kabla ya kupoteza muda kuandika applications na kuhudhuria interview(s) ...Wengine unafanya interview hata tatu! harafu mnafika mwisho ndo unagundua wanacholipa ni hela ya kujikimu.

Someone who has ever worked with them pse? Graduate anawezapata say 2.5M kama take home?

Natanguliza shukurani!
 
some time kaka inakuwa issue mtu kutagi mshahara wake mkubwa jaribu kufanya kwa mtu direct

Ni kweli kaka lkn hata nikipata range say graduate yupo kati ya kiasi hiki mpaka hiki. Lakini pia km kuna m2 anamshikaji anawezanipa clue.
 
sometimes net pay inaweza kuwa kubwa ila benefits kidogo nakushauri ulizia vyote!
 
sometimes net pay inaweza kuwa kubwa ila benefits kidogo nakushauri ulizia vyote!

Kaka asante kwa kunikumbusha point muhimu!

Jamani wakuu vipi? msaada kwa mwenye taarifa kuhusu hawa jamaa pse..
 
Wakuu

salaam! Ningependa mnidirectie kwenye vacancy inaoendana na course zangu za bagen maana natazamia kumaliza chuo mwishon mwa mwez ujao
 
Wenzio waliomaliza bado wanasota.....kama upo UDSM mfate DR JAMBIYA au KENGERA........Kama umesoma project planning and menejment basi anzisha NGo
Wakuu salaam! Ningependa mnidirectie kwenye vacancy inaoendana na course zangu za bagen maana natazamia kumaliza chuo mwishon mwa mwez ujao
 
Wakuu naomba kujua kuahusu pay ya hawa watu (AMREF Tanzania)? Siku hizi kuna International Organizations ambazo zinalipa chini kuliko hata our local companies. Kwa trend ya makampuni yetu sikuhizi naona ni muhimu mtu uwe na picha ya what you should expect kabla ya kupoteza muda kuandika applications na kuhudhuria interview(s) ...Wengine unafanya interview hata tatu! harafu mnafika mwisho ndo unagundua wanacholipa ni hela ya kujikimu.

Someone who has ever worked with them pse? Graduate anawezapata say 2.5M kama take home?

Natanguliza shukurani!

Kaka dont expect 2 get much while u have nothing!wanachuo wengi wanapokua vyuoni huwa na matarajio makubwa tofauti na hali halisi ilivyo mtaani...nakushauri tafuta kazi kwanza ukishapata ndio uangalie sehemu nyingine how they pay otherwise unapotafuta kazi ya mshahara wa 2.5m per month while c.v yako ina referees tu!utapiga picha na vyeti vyako nyumbani....
 
Ndugu yangu mie nina kauzoefu, jambo ni muda sasa!
Mwaka 2009 nilifanya interview ya programme officer- training hapo AMREF japo sikuipata kazi yenyewe lakini katika interview huwa wanakuuliza una swali gani kwetu (AMREF)....Mie niliuliza kwa kazi hii mshahara wake kiasi gani...walikuwa wagumu kutaja lakini mwishoni (HR wa AMREF) alikuwepo kwenye panel na kufungua kabrasha na kuniambia Gross ni mil 1,200,000 na take home nafikiri ni kama laki 9 hivi.....sasa hiyo ni 2009, sijui kwa 2011 kama kutakuwa na mabadiliko sana.....kila la kheri na ni kweli research kabla ya kuomba kazi ni muhimu sana.
 
Wakuu naomba kujua kuahusu pay ya hawa watu (AMREF Tanzania)? Siku hizi kuna International Organizations ambazo zinalipa chini kuliko hata our local companies. Kwa trend ya makampuni yetu sikuhizi naona ni muhimu mtu uwe na picha ya what you should expect kabla ya kupoteza muda kuandika applications na kuhudhuria interview(s) ...Wengine unafanya interview hata tatu! harafu mnafika mwisho ndo unagundua wanacholipa ni hela ya kujikimu.

Someone who has ever worked with them pse? Graduate anawezapata say 2.5M kama take home?

Natanguliza shukurani!

IT IS an open market,

if you want a job go, sell yourself and if you are stunning people will bend the rules for you.... kuuliza hapa kwaweza saidia kiasi but wont make you a better target au nini

My advice, if you dont have a job nenda omba kazi fanya kazi hata kama unapata a little bit less na utapanda ukiwa ndani or utatafuta kwingine while ukiwa kazini

Mshahara requirement umeharibu opportunity ya baadhi ya vijana recently
 
We nenda kwanza, mambo ya mshahara utayajua ukifika
 
Back
Top Bottom