Amri 10 za kanisa lolote duniani

Amri 10 za kanisa lolote duniani

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Kanisa katoliki ndio kanisa na dini ya kwanza, Yesu alipopaa mbinguni alimuachia Mtume Petro maagizo ya kulijenga kanisa kwenye msingi mkuu:

1. Hudhuria misa takatifu, dominika na sikukuu zilizoamriwa.

2. Funga siku ya Jumatano ya majivu; usile nyama siku ya ijumaa kuu.

3. Ungama dhambi zako walau mara moja kila mwaka.

4. Pokea Ekaristi takatifu hasa wakati wa Pasaka.

5. Saidia kanisa katoliki kwa zaka.

6. Shika sheria katoliki za ndoa. Ee Maria Bikira Mtakatifu, Mama wa Mungu na Mama yangu, nawe Mtakatifu Yosefu, Nawe malaika mlinzi wangu, nanyi watakatifu somo wangu, nanyi watakatifu wote, niombeeni nipate kuacha dhambi, nilindeni siku ya leo na siku zote, na saa ya kufa kwangu, Amina.
 
🌍
 

Attachments

  • FB_IMG_1680865076869.jpg
    FB_IMG_1680865076869.jpg
    44.7 KB · Views: 2
Kanisa katoliki ndo kanisa pekee linaloomba msamaha kila mwaka sababu ya mauaji ya mamilion ya waprotestant wasio na hatia yaliyofanyika karne ya 16 , 17. na 18.
 
Kanisa katoliki ndio kanisa na dini ya kwanza, Yesu alipopaa mbinguni alimuachia Mtume Paulo maagizo ya kulijenga kanisa kwenye msingi mkuu:
Paulo alikuja kuwa mtume baadae Sana baada ya kuwa Yesu amekwishaondoka Au labda ulimaanisha Petro.
 
Nimesoma mpaka hapa uliposema

Kanisa katoliki ndio kanisa na dini ya kwanza, Yesu alipopaa mbinguni alimuachia Mtume Paulo maagizo ya kulijenga kanisa kwenye msingi mkuu:

Kwa kifupi tu Paulo hakuwa mmoja wapo wa wale thenashara Na Yesu kristo wakati anapaa Paulo hakuwepo
Ebu nenda tena kwa padri akusomee tena uwo mstari mana najua hata biblia huna.

Hapa ni JF pumba kama hizi lishaneni huko huko kwenye jumuiya za mtakatifu epafradito
 
Back
Top Bottom