Amri Kiemba, mchambuzi mjinga na mshamba kuwahi kutokea duniani

Amri Kiemba, mchambuzi mjinga na mshamba kuwahi kutokea duniani

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Amri Kiemba nani asiekujua wewe, nimekusikia ukisema uchezaji wa Duchu, Chilunda na Mwinuke haujakushawishi, we nani hadi ushawishike na kiwango chao, wakati unacheza soka ukiibuliwa na Kanali mstaafu Kipingu ulitegemewa kuwa mchezaji mzuri kumbe wap, ulipokuwa Yanga uliongoza kwa kutoa pasi kwa adui, uchezaji wako ulikuwa slow mno, yaani ulikuwa kiungo usievutia hata kidogo, ukaenda Simba nako ikawa hivo hivo, kila ukishika mpira ukitoa pasi ulikuwa unampa adui, ukachezea Kagera Sugar ulikuwa mwepesi kabisa, wasiokujua ndio wanaweza kuamini usemayo, lkn wengine tunaokujua na tuliokuona ukicheza mpira tunakuona famba tu.

Siku hizi unajifanya kuongea shombo hasa kwa Simba, mapenzi yako kwa Yanga yako dhahiri, mnafiki mkubwa wewe.

Eti uchezaji wa akina Duchu jana haujakushawishi, wewe ushawishike kwa uwezo gani uliokuwa nao dimbani, we mwenyewe ulikuwa mchezaji wa kawaida tu, unawezaje kuchambua wenzako? We na Jemedari ni watu wa aina gani nyie?

Jana Duchu kaupiga mwingi sana tena amepangwa kwa nafasi ambayo sio yake ila aliimudu, Kiemba, hukuona jitihada za Duchu kushoto kweli? Au chuki zako kwa Simba ndio zinakufanya ulete dharau kwa wachezaji.

Huyu naye kumsikiliza is tantamount to wastage of time.
 
Haya sasa umeshasema ya mwenzako yooote kuwa kacheza Yanga kacheza Simba kacheza Kagera sugar na kacheza timu ya Taifa, sasa tuambie wewe umecheza wapi ili tulinganishe weledi wenu, uzoefu wenu na akili zenu inapokuja ishu ya soka

Makolo sijui kwann huwa hampokeagi ushauri.
 
Yani kwa sababu kasema usiyotaka wewe kuyasikia ndio mjinga na mshamba? Ulipaswa kuweka hoja zako pekee, mpingane kwa hoja na sio kumshambulia yeye binafsi.

Kwangu Kiemba ni mchambuzi bora kabisa mwenye utulivu, na anajua anachokiongea sababu amekifanya katika uwezo wa juu.

Kuwa na mchambuzi aliyecheza ligi kuu hapa nchini katika vilabu vikubwa ni tunu.
 
Twendeni mbele turudi nyuma, kwenye ukweli tuzungumze.

Simba bado haipo vizuri ktk mikakati ya uchezaji na ushindi, ukiitazama Simba kwa muda mrefu, utamuona mtu mmoja tu ambae ana ahueni ktk kila kitu, si mwingine bali ni FABRICE NGOMA.

Timu inaruhusu goli kwa kila mechi, poor techniques wanapobuild mashambulizi na wanapokaba.

Tuachane na Yanga, siioni Simba hii ikichuana vyema kupata matokeo mazuri dhidi ya Azam, hata hawa Singida. Ikipata matokeo basi imetokea imepata tu matokeo ila sio kwa soka linaloleta matuamini.

Ni ngumu kushawishika Simba inaweza ikabeba kombe la ligi, mapinduzi n.k
 
Yani kwa sababu kasema usiyotaka wewe kuyasikia ndio mjinga na mshamba? Ulipaswa kuweka hoja zako pekee, mpingane kwa hoja na sio kumshambulia yeye binafsi.

Kwangu Kiemba ni mchambuzi bora kabisa mwenye utulivu, na anajua anachokiongea sababu amekifanya katika uwezo wa juu.
Kuwa na mchambuzi aliyechezea ligi kuu hapa nchini katika vilabu vikubwa ni tunu.
Emb tutazame game za Simba hivi karibuni, tazama ile dhidi ya Asec, ile game ambayo Saido alikosa penat inakurudiwa, KMC, mech zote utaona timu ina shida.

Timu inacheza ni kama wana uchovu wa hali ya juu sana.
 
Ficha ujinga mzee, nyie ndio mnafanya mashabiki wa simba tuonekane machizi.
Yeye kacheza huko we umecheza wapi.

Halafu mpira ni mchezo wa wazi, kidoogo nitamtetea chilunda ile nafasi aliyocheza ni mpya kabisaaa.

Nini kucheza, andre vila boas AVB hakuucheza kabisaaa, yaani hajacheza mpira, lakini kafundisha Chelsea, porto, Marseille, Tottenham.
Ni kweli hao wachezaji walicheza chini ya kiwango, klabu kubwa kama ya simba wachezaji wanahitajika kuonesha ubora wao. Mbona hajamsema che malone, hajamsema ngoma!? Acheni mapenzi ya mihemko kisa hii simba yangu, yanga yangu, mnaropokwa tu.
 
Simba siyo dhaifu kiasi hicho kama mashabiki wa Yanga wanavotaka kuwaaminisha baadhi ya mashabiki dhaifu wa Simba.

Yanga wengine wanaichukia Simba kwa kuwa Kila kwenye mechi wao wanabeti Simba inafungwa. Sasa ikishinda wanajawa na hasira!!!
 
Amri Kiemba nani asiekujua wewe, nimekusikia ukisema uchezaji wa Duchu, Chilunda na Mwinuke haujakushawishi, we nani hadi ushawishike na kiwango chao, wakati unacheza soka ukiibuliwa na Kanali mstaafu Kipingu ulitegemewa kuwa mchezaji mzuri kumbe wap, ulipokuwa Yanga uliongoza kwa kutoa pasi kwa adui, uchezaji wako ulikuwa slow mno, yaani ulikuwa kiungo usievutia hata kidogo, ukaenda Simba nako ikawa hivo hivo, kila ukishika mpira ukitoa pasi ulikuwa unampa adui, ukachezea Kagera Sugar ulikuwa mwepesi kabisa, wasiokujua ndio wanaweza kuamini usemayo, lkn wengine tunaokujua na tuliokuona ukicheza mpira tunakuona famba tu.

Siku hizi unajifanya kuongea shombo hasa kwa Simba, mapenzi yako kwa Yanga yako dhahiri, mnafiki mkubwa wewe.

Eti uchezaji wa akina Duchu jana haujakushawishi, wewe ushawishike kwa uwezo gani uliokuwa nao dimbani, we mwenyewe ulikuwa mchezaji wa kawaida tu, unawezaje kuchambua wenzako? We na Jemedari ni watu wa aina gani nyie?

Jana Duchu kaupiga mwingi sana tena amepangwa kwa nafasi ambayo sio yake ila aliimudu, Kiemba, hukuona jitihada za Duchu kushoto kweli? Au chuki zako kwa Simba ndio zinakufanya ulete dharau kwa wachezaji.

Huyu naye kumsikiliza is tantamount to wastage of time.
Punguza munkari hebu nishawishi nami niamini kiemba alikuwa hana uwezo je katika hizo timu zote alizopita alikuwa first eleven au ni bench mpaka ana staafu!
 
Haya sasa umeshasema ya mwenzako yooote kuwa kacheza Yanga kacheza Simba kacheza Kagera sugar na kacheza timu ya Taifa, sasa tuambie wewe umecheza wapi ili tulinganishe weledi wenu, uzoefu wenu na akili zenu inapokuja ishu ya soka

Makolo sijui kwann huwa hampokeagi ushauri.
Kuna mahali kasema yeye alikuwa mchezaji. [emoji16]
 
Yani kwa sababu kasema usiyotaka wewe kuyasikia ndio mjinga na mshamba? Ulipaswa kuweka hoja zako pekee, mpingane kwa hoja na sio kumshambulia yeye binafsi.

Kwangu Kiemba ni mchambuzi bora kabisa mwenye utulivu, na anajua anachokiongea sababu amekifanya katika uwezo wa juu.

Kuwa na mchambuzi aliyecheza ligi kuu hapa nchini katika vilabu vikubwa ni tunu.
Mimi shabiki wa simba lkn ni ukweli Mwanuke, chilunda hawakuonyesha kiwango kizuri.

Duchu angalao kidogo.
 
Back
Top Bottom