Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Hata timu ya Darasa lao la nne C hajacheza.... Achana na timu ya kitongoji alikuwa mfua jezi...Haya sasa umeshasema ya mwenzako yooote kuwa kacheza Yanga kacheza Simba kacheza Kagera sugar na kacheza timu ya Taifa, sasa tuambie wewe umecheza wapi ili tulinganishe weledi wenu, uzoefu wenu na akili zenu inapokuja ishu ya soka
Makolo sijui kwann huwa hampokeagi ushauri.
Sasa kama siyo bora hayo matokeo yatatokea wapi.Twendeni mbele turudi nyuma, kwenye ukweli tuzungumze.
Simba bado haipo vizuri ktk mikakati ya uchezaji na ushindi, ukiitazama Simba kwa muda mrefu, utamuona mtu mmoja tu ambae ana ahueni ktk kila kitu, si mwingine bali ni FABRICE NGOMA.
Timu inaruhusu goli kwa kila mechi, poor techniques wanapobuild mashambulizi na wanapokaba.
Tuachane na Yanga, siioni Simba hii ikichuana vyema kupata matokeo mazuri dhidi ya Azam, hata hawa Singida. Ikipata matokeo basi imetokea imepata tu matokeo ila sio kwa soka linaloleta matuamini.
Ni ngumu kushawishika Simba inaweza ikabeba kombe la ligi, mapinduzi n.k
Mimi ni Simba Amri kiemba mchambuzi bora kabisa namkubali sana timu yetu bado kabisa inasua sua hata kocha analijua hilo wewe labda una chuki zako binafsi na Amri.Amri Kiemba nani asiekujua wewe, nimekusikia ukisema uchezaji wa Duchu, Chilunda na Mwinuke haujakushawishi, we nani hadi ushawishike na kiwango chao, wakati unacheza soka ukiibuliwa na Kanali mstaafu Kipingu ulitegemewa kuwa mchezaji mzuri kumbe wap, ulipokuwa Yanga uliongoza kwa kutoa pasi kwa adui, uchezaji wako ulikuwa slow mno, yaani ulikuwa kiungo usievutia hata kidogo, ukaenda Simba nako ikawa hivo hivo, kila ukishika mpira ukitoa pasi ulikuwa unampa adui, ukachezea Kagera Sugar ulikuwa mwepesi kabisa, wasiokujua ndio wanaweza kuamini usemayo, lkn wengine tunaokujua na tuliokuona ukicheza mpira tunakuona famba tu.
Siku hizi unajifanya kuongea shombo hasa kwa Simba, mapenzi yako kwa Yanga yako dhahiri, mnafiki mkubwa wewe.
Eti uchezaji wa akina Duchu jana haujakushawishi, wewe ushawishike kwa uwezo gani uliokuwa nao dimbani, we mwenyewe ulikuwa mchezaji wa kawaida tu, unawezaje kuchambua wenzako? We na Jemedari ni watu wa aina gani nyie?
Jana Duchu kaupiga mwingi sana tena amepangwa kwa nafasi ambayo sio yake ila aliimudu, Kiemba, hukuona jitihada za Duchu kushoto kweli? Au chuki zako kwa Simba ndio zinakufanya ulete dharau kwa wachezaji.
Huyu naye kumsikiliza is tantamount to wastage of time.
Uwezo wa Amri Kiemba wa kucheza mpira enzi zake anazidiwa na Denis Nkane wa leo!🤣🤣🤣🤣Amri Kiemba nani asiekujua wewe, nimekusikia ukisema uchezaji wa Duchu, Chilunda na Mwinuke haujakushawishi, we nani hadi ushawishike na kiwango chao, wakati unacheza soka ukiibuliwa na Kanali mstaafu Kipingu ulitegemewa kuwa mchezaji mzuri kumbe wap, ulipokuwa Yanga uliongoza kwa kutoa pasi kwa adui, uchezaji wako ulikuwa slow mno, yaani ulikuwa kiungo usievutia hata kidogo, ukaenda Simba nako ikawa hivo hivo, kila ukishika mpira ukitoa pasi ulikuwa unampa adui, ukachezea Kagera Sugar ulikuwa mwepesi kabisa, wasiokujua ndio wanaweza kuamini usemayo, lkn wengine tunaokujua na tuliokuona ukicheza mpira tunakuona famba tu.
Siku hizi unajifanya kuongea shombo hasa kwa Simba, mapenzi yako kwa Yanga yako dhahiri, mnafiki mkubwa wewe.
Eti uchezaji wa akina Duchu jana haujakushawishi, wewe ushawishike kwa uwezo gani uliokuwa nao dimbani, we mwenyewe ulikuwa mchezaji wa kawaida tu, unawezaje kuchambua wenzako? We na Jemedari ni watu wa aina gani nyie?
Jana Duchu kaupiga mwingi sana tena amepangwa kwa nafasi ambayo sio yake ila aliimudu, Kiemba, hukuona jitihada za Duchu kushoto kweli? Au chuki zako kwa Simba ndio zinakufanya ulete dharau kwa wachezaji.
Huyu naye kumsikiliza is tantamount to wastage of time.
Kacheza Nyota nyekundu na Idrisa Ngurungu.Haya sasa umeshasema ya mwenzako yooote kuwa kacheza Yanga kacheza Simba kacheza Kagera sugar na kacheza timu ya Taifa, sasa tuambie wewe umecheza wapi ili tulinganishe weledi wenu, uzoefu wenu na akili zenu inapokuja ishu ya soka
Makolo sijui kwann huwa hampokeagi ushauri.
Huyo yupo Kwa ajili ya kutetea ujinga wowote ilimradi ni timu yake. Kocha kasema timu imecheza ovyo na Kila mwenye macho kaona. Yeye na ngonjela zake ànaona timu ilicheza kama Berca ya Guardiola.Punguza munkari hebu nishawishi nami niamini kiemba alikuwa hana uwezo je katika hizo timu zote alizopita alikuwa first eleven au ni bench mpaka ana staafu!
Bongo mpira mgumu sana!Huyo yupo Kwa ajili ya kutetea ujinga wowote ilimradi ni timu yake. Kocha kasema timu imecheza ovyo na Kila mwenye macho kaona. Yeye na ngonjela zake ànaona timu ilicheza kama Berca ya Guardiola.
Umemnyoosha haswaHaya sasa umeshasema ya mwenzako yooote kuwa kacheza Yanga kacheza Simba kacheza Kagera sugar na kacheza timu ya Taifa, sasa tuambie wewe umecheza wapi ili tulinganishe weledi wenu, uzoefu wenu na akili zenu inapokuja ishu ya soka
Makolo sijui kwann huwa hampokeagi ushauri.
Chilunda anajifunza niniMpe vindonge vyake !! Duchu, Chilunda na Mwanuke bado wana uwezo wa ku-improve bado wanajifunza kwa sababu vipaji wanavyo.
Simba imeamua kuwapa nafasi sababu kwenye ligi ni ngumu kupata dakika uwanjani - sasa makosa madogo madogo lazima yawepo.
Sasa kwa taarifa yenu, game na Singida wataanza tena na Singida atakaa ili mnune zaidi.
Chilunda ni kukosa minutes uwanjani, tatizo ambalo analo hata Mmakonde na Phil. Tatizo la kuchezea timu kubwa ndilo hilo - game by game wata improve na haya ndiyo mashindano pekee.Chilunda anajifunza nini
Naona dhidi ya wydad umeondoa, kwani haifit nadharia yako....Emb tutazame game za Simba hivi karibuni, tazama ile dhidi ya Asec, ile game ambayo Saido alikosa penat inakurudiwa, KMC, mech zote utaona timu ina shida.
Timu inacheza ni kama wana uchovu wa hali ya juu sana.
Mzee baba Kitoabu za msumbiji?Sisi mashabiki wa Simba ni mbumbumbu.