Amri Kiemba, mchambuzi mjinga na mshamba kuwahi kutokea duniani

Achana na AVB, kuna Jose Mourinho amebeba UEFA kadhaa, EPL, Bundesliga, La Liga n.k na hajawahi kuugusa mpira.
Mourinho alicheza kidogo, AVB ndio kabisaaa, mourinho alikuwa msugua benchi maarufu, kwenye ligi za daraja za chini huko, aliacha mpira sijui akiwa na miaka 20 na ngapi 🤣😂
 
Amri Kiemba Kama umemshuhudia akicheza basi wewe Ni mchawi vinginevyo umehadithiwa,jamaa Ni moja ya wachambuzi watulivu hawapepesi kuchambua soka kimahaba,halafu huyu Ni kocha kasomea kabisa mpaka nje ya nchi,sijui unataka kutuaminisha ujinga gani kisa mapenzi yako Kwa timu uipendayo....wewe una ushabiki wa kizamani ule ambao mkifungwa mnamtafuta refa mumpige....badilikeni mnajiabisha.
 
Umefunga uzi tyr akikujibu nitag
 
Siku akija huko Yanga kuwachachua, mtarudi hapa kumkataaa.
Kwa jemedari ilikuajeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwangu Kiemba ni mchambuzi bora kabisa mwenye utulivu, na anajua anachokiongea sababu amekifanya katika uwezo wa juu.
Jamaa ana 'jicho la tatu' kuhusu uchambuzi hii ni kutokana na kuucheza mpira wenyewe hasa nafasi ya kutumia akili yaani kiungo! Viungo wengi huwa makocha wazuri ,haishangazi kuwa mchambuzi mzuri!


Bonge moja la utulivu akichambua mpira! Mleta mada ameendeshwa zaidi na mhemko, hisia, papara, hasira na chuki vitu ambavyo hupelekea kufanya maamuzi ya hovyo! Fuatilia mada zake nyingi hutakosa hivyo vitu.Mbaya zaidi anataka kutulazimisha tumfuate!
 
Siku akija huko Yanga kuwachachua, mtarudi hapa kumkataaa.
Kwa jemedari ilikuajeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kiemba anajielewa, huwezi kumfanamisha na kichaa Jemedari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…