Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa cha Manara ni kikubwa mno kiasi kwamba hakifit hapo.Huyu amezoea kulalamika na mengine wala hatumwi na viongozi wake bali akili yake tu, kwenye press yao Jana almanusura alete TvView attachment 2113763
Jamani daah! [emoji23][emoji23][emoji23]Haji analalamika kama Amber Luty.
Sijasikia hii kauli lakini jana nilikuwa namwambia mtu,Manara hata kama ana ujumbe wa msingi,namna ya uwasilishaji wake umekosa busara na hekima,na kuonekana mpiga kelele tuUkimsikiliza Msemaji wa Yanga SC Haji Manara unaona mstari ni mwembamba sana unaotenganisha malalamiko na kukumbusha unahitaji Microscope kuuona mstari huo.
Chanzo: Clouds FM
Ameiweka mbele sana propaganda kuliko uhalisia wa jambo lenyewe kiasi hata kujenga chuki na wadau na hata baadhi ya waandishi wa vyombo vya habari..!Sijasikia hii kauli lakini jana nilikuwa namwambia mtu,Manara hata kama ana ujumbe wa msingi,namna ya uwasilishaji wake umekosa busara na hekima,na kuonekana mpiga kelele tu
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Kwa maoni yako hayo unayoita malalamiko yana hoja au porojo tu tuachane nazo Waamuzi wa Tanzania wako vizuri?Ukimsikiliza Msemaji wa Yanga SC Haji Manara unaona mstari ni mwembamba sana unaotenganisha malalamiko na kukumbusha unahitaji Microscope kuuona mstari huo.
Chanzo: Clouds FM
Haikustahili maana ilikuwa ni wizi mtupu hasa kwa kubebwa kwa mbeya city.Draw ya juzi ndo inawaumiza sana
Wala sijasema waamuzi wapo vizuri isipokuwa nimesema duniani kote suala la waamuzi ni mtambuka, hata wenye VAR bado hawaridhiki na matokeo ya uwanjani.Kwa maoni yako hayo unayoita malalamiko yana hoja au porojo tu tuachane nazo Waamuzi wa Tanzania wako vizuri?