Amri kumi za tychicus

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
1. USIWEKE PASSWORD KWENYE SIMU KWA KUMWOGOPA MWENZA AU MCHUMBA WAKO
2. USINDANGANYE UMRI ILI KUKUBALIWA
3. USIWE NA NYUMBA NDOGO
4. USIDANGANYE KUWA BIKRA WAKATI HUNA
5. USIFANYE MAPENZI KABLA YA NDOA
6. USIMTUKANE WALA KUMPIGA MWENZA WAKO
7. USIWE MKALI UNAPO KOSOLEWA NA MKEO
8. USITAMANI MKE AU MUME WA MTU
9. MPENDENDE MKEO KAMA NAFSI YAKO
10. MTII MUMEO KWA MOYO WAKO WOTE

UKIYAFANYA HAYA UTABARIKIWA ,UTAZAA MAPACHA HADI UTOSHEKE

NAWATAKIA MAISHA BORA KWA KILA MTZ
 
Nilivyomaliza kusoma nimejikuta naiangalia tena hiyo avatar...
 
Mume yeye hatakiwi kupendwa???

Anaweza kupendwa, lakini sio amri... amri ni kutiiwa... (kutiiwa..., tahadhari usisome haraka akashindwa kuona double i kwenye hili neno...)
 
Ingekuwa ukivunja hiyo ya tano hausamehewi milele, heheh......sijui kuni za jehanam zingekuwa na wingi gani aisee!!!
 
Heri sisi wenye mapacha!kumbe tumebarikiwa sana aisee.
 
Ingekuwa ukivunja hiyo ya tano hausamehewi milele, heheh......sijui kuni za jehanam zingekuwa na wingi gani aisee!!!

Hheheheh, kipipi usiniambie na wewe ulisha vunja hiyo ya tano??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…