Amri mwanachuo yoyote anayegoma afukuzwe

Ndokeji

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2011
Posts
698
Reaction score
476
Amri kutoka Halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi ya Tanzania mwanafunzi yoyote anayejihusisha na mgomo afukuzwe. JAMANI WANACHUO ACHENI KUGOMA HIYO NI AMRI KUTOKA SERIKARI YA CCM
 
Amri kutoka Halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi ya Tanzania mwanafunzi yoyote anayejihusisha na mgomo afukuzwe. JAMANI WANACHUO ACHENI KUGOMA HIYO NI AMRI KUTOKA SERIKARI YA CCM

mimi si mwanachuo lakini sijui hao ccm wamekutuma au ni hulka yako tu, umewauliza kwanza wakwambie kwa nini wanagoma? wasikilize kwanza ndo uwape ushauri
 
Amri kutoka Halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi ya Tanzania mwanafunzi yoyote anayejihusisha na mgomo afukuzwe. JAMANI WANACHUO ACHENI KUGOMA HIYO NI AMRI KUTOKA SERIKARI YA CCM

Tupe chanzo mkuu ingawa kwa ccm hii haya yanawezekana kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…