Sijapata nafasi ya kumsikiliza wala kufuatilia hii habari kwa kina. Ametoa amri au ushauri?
Kama nna utaratibu wangu wa kufanya mazoezi inakuaje? Wanataka kuleta mambo ya miaka ile mkicheza mpira Kama Una Viatu unaambiwa uvivue. Shule za private wanazishurutisha kubadili mfumo zifanane na za umma japo za private ndio zinaongoza kufanya vizuri.
Serikali itambue mambo mengine binafsi iwaachie wahusika ilimradi sheria na taratibu zisivunjwe.
Mwisho tutapangiwa hadi tule nini..