Amsha Amsha Simba Day mwaka huu si Mchezo

wajibisha

Member
Joined
May 16, 2021
Posts
90
Reaction score
215
Leo nilikua natembea mitaa mbali mbali ya jiji la Dar. Kusema ukweli mwaka huu amsha amsha huku mtaani si mchezo.

Hongera kwa uongozi wa Simba kwa kujipanga safari hii maana Simba Day ni tamasha kubwa nchini.

Kila Kona ni Simba Day. Natamani ifike hiyo tarehe 19 tukuburudike wana msimbazi.

Msukule anateseka akiwa wapi sijui [emoji23]
 
Simba day ni tamasha kubwa la soka Africa na duniani kwa ujumla

Walipo Utorism Mnyama keshatokapo kitambo sana
 
Kwakweli Simba wamejipanga sana,wanafanya mambo kwa viwango vikubwa.ata mashabiki wa Simba wapo smart sana.
Naona msukule analalamika Instagram kwamba yeye hajatumia nguvu kubwa kafanya press 3 tu kajaza uwanja ,eti Simba inatumia nguvu kubwa.

Huyu jamaa amekuwa chizi ,tulisema Yanga ikishinda au kujaza uwanja lazima ajisifu ni yeye.

Sasa anataka Simba isitumie nguvu kujaza uwanja ? Kwanza zile tickets ni biashara hakuna mwandaaji anataka hasara ,na lazima kutumie nguvu kufanikisha kitu.

Msukule anaaza kuwehuka
 
Simba ata itangaze kuingia uwanjni Bure bado hawawezi kujaza uwanja.Ayo Mambo wawaachie wananchi.
 
Ajijui kama hajui,anavyofanya ndo anaizidi kuipa credit Simba hasa kwenye Simba day.alaivyoinanga jezi ya Simba ndo kaipa promo watu wakawa wanagombania.
 
Ana weweseka sana yule!
 
Hata hivo amepoa sasa hivi baada ya kuona timu yao ipo hovyo
Na bado watapigwa Nigeria,ngao ya jamii na kwenye mechi za ligi.ndo atajua kama yeye kapeleka gundu kwa misukule f.c
 
Na bado watapigwa Nigeria,ngao ya jamii na kwenye mechi za ligi.ndo atajua kama yeye kapeleka gundu kwa misukule f.c
Kule wakifanyiwa tu uhuni mdogo wa Makambo na feisal kupatikana na Corona kazi inakuwa imeisha hata dk 90 hazijaanza
 
Kuelekea Simba day Tazama Tambo za mashabiki zikiongozwa na Mwijaku

 
Kumbe hata mpoto ni Msimbazi...
Amuomba Vunja bei kumuletea na viatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…