Amsterdam & Partners LLP Retained by Tanzanian Political Prisoner Freeman Mbowe

Hivi kweli, inshu ya the hague iliishia wapi na tundu lissu kupitia huyu bwana?
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Waafrika sisi vituko tu duniani hapa. Acha wazungu waendelee kulikamua hili bara. Afrika imeshindwa kujisimamia. Na sababu kubwa ni ubinafsi wetu sote, siyo viongozi pekee. Waafrika huenda 90% ni wabinafsi sana.
 
Uwendawazimu ndiyo huo ulioandika. Mwehu akiona unapita karibu na jalala, anahisi na wewe umeenda kuokota makopo. Kwa sababu wewe ni mpigaji wa hela, unadhani kila mmoja ni mpigaji kama wewe. Usidhani kila mmoja hajastaarabika kama wewe. Kuna wengine evolution ilikamilika, na kwa ninyi wengine, ndiyo hivyo tena, mpo kama mlivyo.
 
Wakili msomi Kibatala kwani fupa limekuwa gumu amelitema?
 
Mboga na ugali vilikuwa vya moto.... Sasa naona hadi maji ya kunawa wameyachemsha 😁😁

Sa100 ajitahidi kutenda haki na kukemea maovu nchini la sivyo awamu yake ataiona chungu kama mwenzake marehemu
 
Yaan CDM na Tindu Lissu ,huwa mnaangaika sana kuongea uongo wa kitoto.Yaan watu wameshawadharau sana.Lissu ulituambia kesi ya mbowe ni nyepesi sana.Lissu juzi umetuambia kama ndio huu ushahid wa polisi kesi imekwisha.Waswahili wanasema ukiwa muongo usiwe mwepesi wa kusau.Leo umekuja na jamaa yako tapeli mzungu,eti ndio ataweza kushinda kesi.Kwa hiyo kesi si nyepesi tena?Kibatala maji ya shingo.Kwa mwenendo wa kesi Mbowe anagungwa.
 
Wakili msomi Kibatala kwani fupa limekuwa gumu amelitema?
Kibatala amechoka kufanyishwa kazi kwa mazoea (kazi isiyokuwa na malipo) kwani jamaa ana familia. Waswahili wanasema mkono mtupu haulambwi, ngoja tuone Amsterdam itakuaje!
 
Huyo aloshindwa kumsaidia mkwewe Lisu ndio ataweza saizi?
 
hao hawaruhusiwi wataishia kutoa mimacho tu mahakamani hawaongei kitu
 
Wazungu rafiki zake Mungu
... kuna mstari mmoja maarufu kwenye maandiko; Mungu akamuumba mwanadamu kwa mfano na sura yake! Sometimes huwa najiuliza hivi ni kweli viumbe wote wajulikanao kama watu wameumbwa kwa sura na mfano wa Mungu? Hata bwana yule? Mbona roho mbaya sana? Inafikirisha.
 
Kwa wapambanaji wanaopigania Demokrasia, uhuru na haki kwa kila mtu, pamoja na haki zako, habari ya "kungojea" haipo. Ni ALUTA CONTINUA. Kama ni Neno la Mungu, hata makaburu walitumia, kimakosa, Biblia kuhalalisha ubaradhuli wao
 
Maji shingoni. Mbowe akichomoka kesi hii namwabudu mzungu. Alisema maisho wa uenyekiti 2023 kumbe alijua ndio itatoka Hukumu yake ya miaka 30. Lema jimilikishe tu mapema mke wa Gaidi.
 
Labda wazungu wanaweza kuwa mfano wa sura yake, maana kuna msemo “wazungu rafiki zake Mungu,”
sisi wafrika wote ni mfano wa Manyani kwa sura na roho zetu mbaya..
Mungu anismehee kama nitamkwaza Insha’Allah..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…