Amsterdam & Partners LLP Retained by Tanzanian Political Prisoner Freeman Mbowe

Safi huyu mama na macho yake ya kulegeza,inabidi akimbizwe mchaka mchaka mpaka kile kifua chake kilichojaa,kikauke kiwe kama Cha wachezaji Mpira wa kike(aliowakebehi,kwamba "wanafanana kama wanaume")
 
Lissu nyoko kmamae khaaaa lissu hafai hatabkwa bure mataga wanapoteana rasmi sasa
 

Vumbi🤣🤣🤣🤣🤣
 

Sasa umeandika nini🤣🤣🤣🤣
 
Hahhahaha.. Chadema hawajifunzi tu?

Huyu alichangia sana anguko la Lisu kwenye uchaguzi mkuu 2020 leo tena atakuja kumpoteza kabisa Mbowe
Mnajitekenya wenyewe ma CCM,ukiona mzungu ambaye ndio kinara wa kupambna na Ugaidi anakuja kuleta mawakili kumtetea Mzalendo Mbowe huku Mabalozi toka nchi za wazungu wanahudhuria kesi ya Mbowe hawaendi ktk kesi ya Sabaya hamjiulizi tuu ninyi majuha?

Marekani walisha waeleza kuwa Makonda na CCM mnaua watu, mnatesa watu na kuteka watu wasio na hatia na wakampiga marufuku Makonda kuingia Marekani. Endeleeni kuingia ktk 18 zao mamaee.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kibatala amechoka kufanyishwa kazi kwa mazoea (kazi isiyokuwa na malipo) kwani jamaa ana familia. Waswahili wanasema mkono mtupu haulambwi, ngoja tuone Amsterdam itakuaje!
Hakuna jipya,huko nyuma nakumbuka Kuna wanasiasa nao waliwahi kuleta mawakili kutoka Uingereza,hukumu ilipotoka mpaka leo sijawahi kuwasikiliza tena.
Walijuta kuifahamuTanzania.
 
Ile ya uchaguzi iliishia wapi? Hata wazungu kuna mapungasese kama lisu na mbowe
 
Sasa umeandika nini🤣🤣🤣🤣
Huwezi kuelewa !Acha nikufafanulie wewe ni miongoni mwa mawakala wa shetani ,halafu unajidai kujificha Kwenye neno la Mungu.
 
Huyu jamaa mbona anaonekana kama tapeli,ila ni wale ambao mpaka mcgunguze sana.Alafua anaonekana kashawazima.watu wengi ila anatumia kampuni kujitetea[emoji23][emoji23][emoji23]
Alikutapeli nini kila siku jiwe alikuwa anawaibia hat 1.5t hamkujua ilienda wapi mabenki huko kila siku mnaibiwa na hamfanyi lolote na mtaendelea kukaaa hivyo hivyo na kusema nchi inaendelea kwa kudanganywa kumbe inadidimia. Pigeni tu makofi elimu bure wakati wanafunzi huko madarasa mabovu te na ya nyasi vyoo vichafu na kila aí na ya ujinga a ti tunajenga nchi kumbe mnapumbazwa ni hawo wajinga hapo lumumba.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini asiruhusiwe kama kakidhi vigezo vya kua wakimataifa.?.Wako wanasheria wengi tu wakiafrika wamefanya hizo kazi uko nchi za wazungu.ata watanzania wapo.mfano wa karibu ni Nimrod mkono.Jielimishe.

Haya nielimishe.

Unaingia marekani kumtetea mtu mahakamani kwa Visa gani na work permit class gani na kwa bar association certification gani ??????
 
Probably the only positive thing I could think of about White Supremacy is when concerned White people step in to become the last defenders of civility, democracy, justice and rule of law for Africans because Africans have screwed up yet again and have gotten back to their old savage, illogical, barbaric, childish ways. It takes a White Savior to fix this for the Africans.
 
I thought you were a kid then! Mtemi chenge kagonga bajaj na kuua akiendesha gari lisilo na bima, mahakama ikamtia hatiani akalipa faini.
Hahahaaaa....... Wakati wa kesi ya uhaini 1983 tulikuwa tunafuatilia kwa kusoma gazeti la Daily News pale Tanganyika Library bwashee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…