Amunike Amuongeza Erasto Nyoni timu ya Taifa

Amunike Amuongeza Erasto Nyoni timu ya Taifa

Nani kafunga hizo goal za stars ?
Amefunga Msuva na Samatta, Samatta pia amekosa penati iliyogonga mwamba wa juu.
Wachezaji wapya walioanza leo tofauti na mechi iliyopita ni Kapombe, Nyoni na Yondani wakichukua nafasi za Ulimwengu, Kessy na Mwantika.
Ulimwengu na Kessy walikuwa na kadi mbili za njano ila ukweli Ulimwengu ni mizinguo bora kocha amelazimika kuona wengine.

Mechi ijayo itakuwa dhidi ya Lesotho kwao na tutamkosa Samatta kwa sababu ana kadi mbili za njano. Na amini nimekupa mwanga kidogo wa kilichotokea.
 
Poa wamejitahidi next time wamfunge Lesotho pia
Kiukweli leo wamejitahidi ila bado tuna mapungufu beki hata umaliziaji sio mzuri mwalimu ayaangalie hayo.
Hivi mara ya mwisho Stars kushinda ugenini ilikua lini?.
 
Amefunga Msuva na Samatta, Samatta pia amekosa penati iliyogonga mwamba wa juu.
Wachezaji wapya walioanza leo tofauti na mechi iliyopita ni Kapombe, Nyoni na Yondani wakichukua nafasi za Ulimwengu, Kessy na Mwantika.
Ulimwengu na Kessy walikuwa na kadi mbili za njano ila ukweli Ulimwengu ni mizinguo bora kocha amelazimika kuona wengine.

Mechi ijayo itakuwa dhidi ya Lesotho kwao na tutamkosa Samatta kwa sababu ana kadi mbili za njano. Na amini nimekupa mwanga kidogo wa kilichotokea.
Itakuwa mechi nzuri wakijitahidi watashinda..
Lesotho watakuwa relaxed wakijua samatta hayupo na watakuwa wako nyumbani hivyo watacheza kwa kushambulia stars wakijipanga watashinda
 
Itakuwa mechi nzuri wakijitahidi watashinda..
Lesotho watakuwa relaxed wakijua samatta hayupo na watakuwa wako nyumbani hivyo watacheza kwa kushambulia stars wakijipanga watashinda
Kwanin samatta asiwepo?
 
Back
Top Bottom