Amwagaye damu ya binadamu, damu yake itamwagwa na binadamu

Amwagaye damu ya binadamu, damu yake itamwagwa na binadamu

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857

Mwanzo 9:6 BHND​

Share
Amwagaye damu ya binadamu, damu yake itamwagwa na binadamu; maana binadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu.
 
Nawasiwasi sana kama sio chadema wenyewe kuna walioshiriki mauwaji ya Ali kibao ili kumchafua mama, hata tundu lisu pia nina wasiwasi kuna viongozi ndani ya chama chake wamemshoot.

Kuweni makini sana na hicho chama
 
Nawasiwasi sana kama sio chadema wenyewe kuna walioshiriki mauwaji ya Ali kibao ili kumchafua mama, hata tundu lisu pia nina wasiwasi kuna viongozi ndani ya chama chake wamemshoot.

Kuweni makini sana na hicho chama
Aijalishi Mungu hana Chama.

Amwagaye damu ya binadamu, damu yake itamwagwa na binadamu; maana binadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu.
 
Ndugu yangu Kamundu iko hivi, matatizo ya kisiasa hutatuliwa kisiasa. Kamwe, matatizo ya kisiasa hayawezi kutatuliwa kiimani.

Huko ambako ndiko hiyo biblia ulionukuu iliandikwa, mpk kesho wameshika bunduki wakijilinda dhidi ya ama kuwachapa Hamas. Kwanini wao hawakumwachia Mungu.?
 

Mwanzo 9:6 BHND​

Share
Amwagaye damu ya binadamu, damu yake itamwagwa na binadamu; maana binadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu.

Mwanzo 9:6 BHND​

Share
Amwagaye damu ya binadamu, damu yake itamwagwa na binadamu; maana binadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu.
 
Back
Top Bottom