soma kwanza! elimu kwanza ! kazi baadae!
sawa mm nakuombea hupate vyote gari na wese!Nashukuru sana But mzee Gari bila wese haliendi!!!
kikelelwa, nimekumbuka nyumbani kwetu mbomai chini,karibu na stoo ya mnyuko. Btw kwa nini usiendelee na hyo ngo wakati unatafuta cpa, ukishapata cpa ujiajiri mwenyewe kwa kuanzisha business consultation a/c and auditing firm?