acha masihara, fanya uwezavyo upate field...tafadhali fanya juu chini upate field kabla ya mwezi huu kuisha, jaribu kubeba copy za Provisional results+ A-level and 0-level certificates kisha tembelea Bank hususani CRDB physically, check TBL physically, Check NSSF , NBS,Air Tell, TTCL,TIGO,TWIGA CEMENT, Audit firm KPMG, DElloitte, E$Y,Pwc, Na wizara office zao, kama ukiweza waambie wakupe mkoani, wewe waambie upo tayari bila malipo na ongea kama mtu mwenye shida, dressing code usivae kihuni (kimini, kata k z strictly prohibited) fanya uwezavyo usikae nyumbani, tafuta field kuna watu waliwahi kuomba field sehemu zaidi ya 20 hawakupata kabisa usishangae.....nimemaliza all the best