FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Mh.rais tunaomba upeleke wahubiri wa kimataifa ktk kisiwa cha Solomoni Islands, watu Kule wanateseka kwa maagano na mila mbaya,waweza fuatilia mazungumzo yangu kwa njia ya ujumbe na Dada msomi wa huko ktk Facebook na ambae ni mtetezi wa haki za binadamu aitwae Sarah Angeika Buka ameelezea kwa kina na hata kwa huruma yako ungempa green card visa
Mimi siji huko kwani muoga kupanda Ndege labda unipe lift kwenye Air force One ndio naiamini kama ulivyompa lift waziri mkuu wa Japan
Haya maandishi ni lugha ya Kiswahili anayoimudu vyema naibu balozi wako Peterson
Mimi siji huko kwani muoga kupanda Ndege labda unipe lift kwenye Air force One ndio naiamini kama ulivyompa lift waziri mkuu wa Japan
Haya maandishi ni lugha ya Kiswahili anayoimudu vyema naibu balozi wako Peterson