An Open letter to president Donald Trump,i hope C.i.A will translate in English from East Africa..

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
Mh.rais tunaomba upeleke wahubiri wa kimataifa ktk kisiwa cha Solomoni Islands, watu Kule wanateseka kwa maagano na mila mbaya,waweza fuatilia mazungumzo yangu kwa njia ya ujumbe na Dada msomi wa huko ktk Facebook na ambae ni mtetezi wa haki za binadamu aitwae Sarah Angeika Buka ameelezea kwa kina na hata kwa huruma yako ungempa green card visa

Mimi siji huko kwani muoga kupanda Ndege labda unipe lift kwenye Air force One ndio naiamini kama ulivyompa lift waziri mkuu wa Japan

Haya maandishi ni lugha ya Kiswahili anayoimudu vyema naibu balozi wako Peterson
 
Nasikia umeliteka jukwaa la jamii intelligence. Ni kweli Mkuu?
 
TRUMP HATUPENDI WAAFRIKA!
MBONA HAMUELEWI JAMANI!
 
Umepuyanga mkuu, sijui umeandika nini au ndio Facebook mnavyoandikaga hivi

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
 
Nimemuelewa au Nimekosea?

Wahubiri-Wapigania haki

Kisiwa cha Solomon- Bongo

Kwa maagano na mila- Uhuru, Haki, Demokrasia

Facebook-Mitandao ya Kijamii

Saraha Angeika Buka-Mange Kimambi

Peterson- Ni Inmi Patterson, Kaimu Balozi wa US Tanzania. Anazungumza na kusoma kishwahili vizuri kabisa kama Mtanzania wa kuzaliwa. Kwa hiyo ana uhakika ujumbe wake Balozi ataupata na inawezekana tunaye JF πŸ˜€

Ila Mkuu frankkimario usisahau kumeza Haloperidol zako

IGWE MSAGA SUMU Abuu Said
AbaMukulu Red Giant
Castr fundi bishoo bright platnumz
Zeus1
 
...mkuu you are exceptional.
...be guided by Jah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…