FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Nasikia umeliteka jukwaa la jamii intelligence. Ni kweli Mkuu?Mh.rais tunaomba upeleke wahubiri wa kimataifa ktk kisiwa cha Solomoni Islands, watu Kule wanateseka kwa maagano na mila mbaya,waweza fuatilia mazungumzo yangu kwa njia ya ujumbe na Dada msomi was huko ktk Facebook na ambae ni mtetezi wa haki za binadamu aitwae Sarah Angeika Buka ameelezea kwa kina na hata kwa huruma yako ungempa green card visa
Mimi siji huko kwani muoga kupanda Ndege labda unipe lift kwenye Air force One ndio naiamini kama ulivyompa lift waziri mkuu wa Japan
Haya maandishi ni lugha ya Kiswahili anayoimudu vyema naibu balozi wako Peterson
instagram:kaukwaju
Hapo kwenye "picha" nini kinaonesha kuwa hatupendi??TRUMP HATUPENDI WAAFRIKA!
MBONA HAMUELEWI JAMANI!View attachment 853090
Cia wapo dunia nzima akina lusekelouna maaanisha C I A ya bomgo ile iliyo shindwa ata kujua walio mpiga risasi lisu na akwilima au ipi iyo mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hospitali kwenu kuna WiFi ya bure?Cia wapo dunia nzima akina lusekelo
Kwangu ilishakamilika toka siku ilehahaaa
pattern inaanza kuleta picha.
...mkuu you are exceptional.Nimemuelewa au Nimekosea?
Wahubiri-Wapigania haki
Kisiwa cha Solom- Bongo
kwa maagano na mila- Uhuru, Haki, Demokrasia
Facebook-Mitandao ya Kijamii
Saraha Angeika Buka-Mange Kimambi
Peterson- Ni Inmi Patterson, Kaimu Balozi wa US Tanzania. Anazungumza na kusoma kishwahili vizuri kabisa kama Mtanzania wa kuzaliwa. Kwa hiyo ana uhakika ujumbe wake Balozi ataupata na inawezekana tunaye JF [emoji3]
Ila Mkuu frankkimario usisahau kumeza Haloperidol zako
IGWE MSAGA SUMU Abuu Said
AbaMukulu Red Giant
Castr fundi bishoo bright platnumz