Ana bleed siku moja tu!je kuna tatizo?

white wizard

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2011
Posts
8,566
Reaction score
13,770
wakuu,jana kuna rafiki yangu ana mke wake,amekuja niuliza ki2,kuwa yeye ana mke wake wameona yapata miaka 2 sasa na hawaja bahatika kupata mtoto!ila tatizo kubwa alilo nalo shemeji yangu ni kuwa mala nyingi huwa anaona cku zake kwa muda wa siku moja tu!na ni kidogo sana,ikizidi sana ni cku mbili nayo huwa ni nadra sana,ana miaka 31.je hilo ni tatizo? Linaloweza kuwa linachangia kutoshika mimba? Japo yanaweza kuwa ni mengi..ckuwa na jibu la moja kwa moja la kumpa,na je hapa dar ni hospital gani nzuri anaweza akaenda kufanyiwa vipimo kama ni tatizo.
 
Mpaka katimiza miaka 31 ametulia tu? Kawaida onatakiwa itoke kati ya siku 3-7, aende hospitali amwone daktari bingwa wa wanawake
 
Dr. MziziMkavu, Dr. Riwa, Dr. mum measkron na wengine okoa jahazi hapa!"

My daughter charming lady hujambo? back to topic.... Mkuu white lizard, huyu rafiki anatakiwa na mkewe kwenda kumwona daktari wa magonjwa ya kina mama hapo watapata vipimo na ushauri including kuangalia katoka mzunguko fertile days zake ni lini na uwezekano wa kupata ovulation predicting kit pia...
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…