MahinaVeterani
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 710
- 256
Wanajamvi,
Kuna huyu mdau. Alihitimu Kidato cha Nne miaka kadhaa iliyopita. Matokeo yake yalikuwa mabovu kwa maana ya Credits 3, D chache na Fails kadhaa. Alijiendeleza na kuhitimu Certificate na Diploma za Community Development kutoka CDTI ya Serikali. Mwaka huu hakuweza kudahiliwa katika Chuo chochote kwa sababu hana Credits 4 za Kidato cha Nne kama inavyotakiwa na TCU. Ana hamu kubwa ya kujiendeleza kwa Elimu ya Chuo Kikuu hasa kwenye Taaluma ya Community Development au Socialogy haijalishi hata kama ni kujilipia. Yuko kijijini. Anaomba msaada, kwa wenye uelewa, atumie approach ipi ili atimize ndoto yake ya kujiunga na Elimu ya Chuo Kikuu! Thanks in advance
Kuna huyu mdau. Alihitimu Kidato cha Nne miaka kadhaa iliyopita. Matokeo yake yalikuwa mabovu kwa maana ya Credits 3, D chache na Fails kadhaa. Alijiendeleza na kuhitimu Certificate na Diploma za Community Development kutoka CDTI ya Serikali. Mwaka huu hakuweza kudahiliwa katika Chuo chochote kwa sababu hana Credits 4 za Kidato cha Nne kama inavyotakiwa na TCU. Ana hamu kubwa ya kujiendeleza kwa Elimu ya Chuo Kikuu hasa kwenye Taaluma ya Community Development au Socialogy haijalishi hata kama ni kujilipia. Yuko kijijini. Anaomba msaada, kwa wenye uelewa, atumie approach ipi ili atimize ndoto yake ya kujiunga na Elimu ya Chuo Kikuu! Thanks in advance