Ana kwa ana Bujibuji na Mshana Jr

Ana kwa ana Bujibuji na Mshana Jr

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
4,219
Reaction score
4,608
Nadhani hujabahatika kukutana na magwiji Hawa wawili wakiwa nje ya jukwaa letu pendwa.

Jumamosi iliyopita nilibahatika kuonana nao mitaa ya Kasumulo wakijiandaa kuvuka mpaka kwenda Lilongwe, hakika ilikuwa ni shangwe Sana.
 
siku nikiwa mbeya [mention]bubuji [/mention] nitakutafuta
 
Nadhani hujabahatika kukutana na magwiji Hawa wawili wakiwa nje ya jukwaa letu pendwa.

Jumamosi iliyopita nilibahatika kuonana nao mitaa ya Kasumulo wakijiandaa kuvuka mpaka kwenda Lilongwe, hakika ilikuwa ni shangwe Sana.
View attachment 1928465
Inauma sana kwa sisi watumia app kwa cm link haifunguki na sisi tuwaone [emoji134]
 
Jamani aliebahatika kufungua picha namba azisikirini shuti basi azirushie hapa tufaidi wote
 
Back
Top Bottom