King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Nimeonana naye wakati nikitokea maeneo ya ifm kuja ikulu,yeye yupo na vogue nyeusi yenye plate number ya MO.(Mohammed Dewji)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeonana naye wakati nikitokea maeneo ya ifm kuja ikulu,yeye yupo na vogue nyeusi yenye plate number ya MO.(Mohammed Dewji)
umesema yeye alikuwa na vogue wewe ulikuwa na nini mkuu? au ulikuwa unatwambia na we ulikuwa na gari! nice trick.
Aseeee...
Ukajisikia raaaahaaa.....!
Kumbe na yeye ni celebrity? Mbona huku kwetu anatutembelea mitaani kuomba kura kila baada ya 5 years
Aseeee...
Ukajisikia raaaahaaa.....!
Ameni-inspire napenda sana kukutana na watu wenye mafanikio wananitia machungu ya kufight more,Nimeshangaa kuona na yeye ametoa mil5 kuweka Plate No ya MO.
million 5 ya kitz nayo ela kubwa!!!!!!! inatia huruma
Nimeonana naye wakati nikitokea maeneo ya ifm kuja ikulu,yeye yupo na vogue nyeusi yenye plate number ya MO.(Mohammed Dewji)
ukitaka kumuona tena tembelea maeneo ya oysterbay hotel mida ya mchana cku za wiki uwa anapenda kwenda pale ucpate tabu tena ya kuwa unamsubiria kwa road.....ha ha ha
Inferiority Complex !
Kwani unakutana na watu wangapi njiani ?
Nimeonana naye wakati nikitokea maeneo ya ifm kuja ikulu,yeye yupo na vogue nyeusi yenye plate number ya MO.(Mohammed Dewji)
Mil5 unajenga sefu kontena!!!